Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,736
6,796
Mimi ni mkristu ila kuna muda inabidi ukweli usemwe. Leo nimekaa nikakumbuka trip yangu ya kwanza Dubai, kuna protocols nilivunja ila wahusika pale (waarabu) wakaniita ofisini kwao kwanza nikaulizwa kama nimekula, nikapelekwa kula kisha ndo wakanikalisha chini kunielekeza.

Overall experience ilifanya niwaheshimu sana watu wa Dubai. Kwa sasa kila nikienda kule basi najitahidi hata nivae kama wao kabisa sababu ya heshima niliowapa kwa kile kitendo. Na si mm tu, mtu yyt ukiachana na hawa wazamiaji lazima upewe ukarimu sana ukiwa dubai

Dubai na emirates kwa ujumla ni wakarimu sana, usiende tu kama mtumwa, sabab hata sisi weusi kwa weusi tunatesana kwa watu walio chini yetu, that's human nature. Ila generally waarabu wa Dubai na Abu dhabi ni watu poa sana.

Ndo maana sishangai hata Ronaldo kuadopt kabisa maisha ya kule, wanavyokutreat tu lazima na ww utawaheshimu

Hawa wengine walipua mabom kila siku sijui uislam wao ni wa wapi, siujui uislam ila kama ningekua muislam ningechagua huu uislam wa dubai.
 
Hata waislamu wa hizo nchi zingine hawana tatizo na mtu... tatizo ni hao Marekani na wamagharibi wengine kulazimisha mfumo wao wa kidhalimu kwa jina la demokrasia kutumika kwenye nchi za kiislamu. From nowhere beberu linajitokeza na kuanza kudai nchi yenu haina demokrasia na kuanza kulazimisha kufuata utaratibu wake.
 
Medias zinawa portray vibaya, hao jamaa wanaonekana wakorofi ni kwa sababu wamechokozwa na wanapigania haki zao.

Hata hao watalibani wa Afghanistan ni jamaa wako poa sana, hawana kelele na mtu.

Nchi za magharibi ndizo chanzo .
Kama umechokozwa ukajilipue ukaue watu wasio na hatia halafu useme ni watu wazuri?
Waarabu ni magaidi. Mfano hai Libya.
Tunisia pale kuna mwafrika mzamiaji alichomwa kisu na mwaarabu kisa wanaogopa watazaa na dada zao na rangi ya uarabu itapotea, cha kushangaza wakifanikiwa kuingia ulaya wanapokelewa na kupewa uraia
Waarabu Hapana
 
Hao wa Yemen sijui Pakistan somalia Afghanistan ni waislam masikin hakuna elim nk. Ingawaje wanachokifanya ndivyo uislam unataka. Usifikir wanavyokuita kafiri wanatania. Ukishaitwa kafiri umeshawekwa kwenye levo ya kuchomwa moto tu maana unakuwa jitu linaloishi bila mpangilio lipo lipo tu bila Mungu. Unastahili kuuwawa.
 
Mimi ni mkristu ila kuna muda inabidi ukweli usemwe. Leo nimekaa nikakumbuka trip yangu ya kwanza Dubai, kuna protocols nilivunja ila wahusika pale (waarabu) wakaniita ofisini kwao kwanza nikaulizwa kama nimekula, nikapelekwa kula kisha ndo wakanikalisha chini kunielekeza.

Overall experience ilifanya niwaheshimu sana watu wa dubai. Kwa sasa kila nikienda kule basi najitahidi hata nivae kama wao kabisa sababu ya heshima niliowapa kwa kile kitendo. Na si mm tu, mtu yyt ukiachana na hawa wazamiaji lazima upewe ukarimu sana ukiwa dubai

Dubai na emirates kwa ujumla ni wakarimu sana, usiende tu kama mtumwa, sabab hata sisi weusi kwa weusi tunatesana kwa watu walio chini yetu, that's human nature. Ila generally waarabu wa Dubai na Abu dhabi ni watu poa sana.

Ndo maana sishangai hata Ronaldo kuadopt kabisa maisha ya kule, wanavyokutreat tu lazima na ww utawaheshimu

Hawa wengine walipua mabom kila siku sijui uislam wao ni wa wapi, siujui uislam ila kama ningekua muislam ningechagua huu uislam wa dubai.
Hapo kuna mambo mawili unatakiwa uyafaham. Moja ni nini msingi wa imani. Msingi huo unaweza kuupata kwa kufaham namna dini iyo ilivyoanza na kuenea. Hili jisomee mwenyewe utapata ukweli. Kwa dondoo tu ni kuwa nchi zote zilizopo kaskazini mwa bara la afrika na nchi za afrika magharibi kule upande wa Niger, Mali, Gambia, Mauritania ambazo kwa sasa zina uislam kindakindaki izo nchi zote zilikuwa zinafuata imani ya ukristo. Sasa fuatilia mwenyewe ujue ilikuwaje ukristo ulitoweka na badala yake uislam kutamalaki. Hiyo sababu utakayoipata ndio hasa msingi wa imani iyo.

Mbili watu wengi bado wanachanganya kuhusu kuishi kwa kufuata uislam kama dini na kuishi kwa kufuata uislam kama sehemu ya tamaduni. ivi ni vitu viwili tofauti ndomaana unaweza kukuta mtu kavaa mavazi ya iyo dini lakini anafanya mambo ambayo hata wewe usiye wa imani iyo usingeweza kuyafanya au aukuyategemea, mtu wa ivyo anakuwa ameishi katika jamii iyo na ivyo anafata tamaduni za watu wa jamii iyo lakini haimaanishi kuwa mtu uyo lazima atakuwa ni mfuasi kindakindaki wa yale yanayoelekezwa na imani iyo.
 
Weee..wananyonga kama mbuzi hao, waangalie hivyohivyo tu.Ni familia chache ndo zinamiliki hizo nchi, wanajikuta wanajipendekeza kwa wazungu, wansinvest kwao, wanawakaribisha kwao ili wajitengenezee security.
Unamkumbuka "KASHOG" Msaudia mwenzao huyu _ walimdissolve kwenye pipa la Acid huyu..alikuwa mwandishi wa habari...
Sasa kama wanaweza mfanya hivi mwenzao sembuse wengine....???
 
Medias zinawa portray vibaya, hao jamaa wanaonekana wakorofi ni kwa sababu wamechokozwa na wanapigania haki zao.

Hata hao watalibani wa Afghanistan ni jamaa wako poa sana, hawana kelele na mtu.

Nchi za magharibi ndizo chanzo .
Kwa nn wao?

Na mbona hata kwenye media zao wenyewe kama Aljazeera tunaona mambo ya ajabu
 
Dubai na saud arabia sio kwamba ni wapole wanasheria kali za kuthibiti magaidi

Hizo nchi zinaongozwa kifalme

Wafalme wanajua wakicheka na kima wanaondolewa

Wananyonga watu km kuku
Hawa jamaa wana hadi gereza lao wenyewe, very luxury. Mwanamfalme akizingua anapumzishwa huko. Ila MBS nasikia alinyonga hadi mjomba wake
 
Hapo kuna mambo mawili unatakiwa uyafaham. Moja ni nini msingi wa imani. Msingi huo unaweza kuupata kwa kufaham namna dini iyo ilivyoanza na kuenea. Hili jisomee mwenyewe utapata ukweli. Kwa dondoo tu ni kuwa nchi zote zilizopo kaskazini mwa bara la afrika na nchi za afrika magharibi kule upande wa Niger, Mali, Gambia, Mauritania ambazo kwa sasa zina uislam kindakindaki izo nchi zote zilikuwa zinafuata imani ya ukristo. Sasa fuatilia mwenyewe ujue ilikuwaje ukristo ulitoweka na badala yake uislam kutamalaki. Hiyo sababu utakayoipata ndio hasa msingi wa imani iyo.

Mbili watu wengi bado wanachanganya kuhusu kuishi kwa kufuata uislam kama dini na kuishi kwa kufuata uislam kama sehemu ya tamaduni. ivi ni vitu viwili tofauti ndomaana unaweza kukuta mtu kavaa mavazi ya iyo dini lakini anafanya mambo ambayo hata wewe usiye wa imani iyo usingeweza kuyafanya au aukuyategemea, mtu wa ivyo anakuwa ameishi katika jamii iyo na ivyo anafata tamaduni za watu wa jamii iyo lakini haimaanishi kuwa mtu uyo lazima atakuwa ni mfuasi kindakindaki wa yale yanayoelekezwa na imani iyo.
Kwenye moja una pointi ila naona kama unahamisha mpira vile. Tunajua waislam haohao ndo waliwadhulumu wakristo na kuwalazimisha kuchukua dini yao, na kuwageuza watu wa hovyo na huo uislam feki wa kulipuana lipuana. Mfano St Agustino of Hippo yule nadhan alikua Algeria, na pia huwa kuna Tetesi algeria waliwahi kutoa hadi papa, ila kwa sasa algeria ni nchi ya kiislam
 
Back
Top Bottom