Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yanalipuka hivi sasa, nayasikia hapa kama 10 hivi!
mzizi mbona kama unafanya mzaha vile? ni kweli hiyo inshu? au we ndo umeyategua?
Wewe uliye mkweli sema ukweli, yaliyolipuka na masaburi yako!
Nashangazwa sana na uzushi wako, nadhani hustahili kuwa member humu JF. Ningekuwa mimi ni Mod, ningekupiga ban ya maisha.