yanalipuka hivi sasa, nayasikia hapa kama 10 hivi!
mzizi mbona kama unafanya mzaha vile? ni kweli hiyo inshu? au we ndo umeyategua?
Wewe uliye mkweli sema ukweli, yaliyolipuka na masaburi yako!
Nashangazwa sana na uzushi wako, nadhani hustahili kuwa member humu JF. Ningekuwa mimi ni Mod, ningekupiga ban ya maisha.