kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,964
Hakuna kama Mungu,loh!!!!! endelea kuibariki Arumeru wahame mabalozi wengi zaidi
Habari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika..
Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
Tunawashukuru kwa kujitambua na kuamua kufanya maamuzi yenye heri kwa mustakabali wa taifa letu ikifikia siku viongozi wengi wa ngazi ya shina wakafanya hivyo nchi nzima basi ukoloni mambo Leo wa CCM utanq'oka kabisalabda hiyo ni nyingine..maana ni jana tu kwenye mkutano uliofanywa na sugu na halima mdee hao mabalozi walirudisha kadi za ccm na mmoja liichana chana kwa hasira kisha wakachukua za chadema na wakamshukuru Mungu kwa kutua mzigo mzito ...mmoja alisema kila siku wanafatwa usiku na vuongozi wa ccm ili wanunue kadi za kupigia kura toka kwa wananchi......
kama sio hawa watu wanaoitwa mabalozi wa nyumba 10...usingekuta ccm bado ipo madarakani....hao ndio wanaongoza kwa kugawa kanaga kofia na hela za ccm
Mkuu leo naona umeamua kumtukuza Mungu, Ameni atabaki kuitwa Mungu milele na sio Allah
Kwa ninavyojua kila Balozi anasimamia kitongoji chake...ina maana hapa ni vitongoji 12....ni hatua nzuri sana kwa Cdm 2015,
Habari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika.. Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
.........mkuu mbona hili liko wazi tu, na bado, magamba yataisha yoteHabari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika.. Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
Kumbe mabalozi wa nyumba kumi ni viongozi
Wale wale kina Wassira eti hii si habari kwa vile yeye alishasema jana, kama ilitoka wiki iliyopita mbona ulikuwa hujaiweka humu JF umesubiri MKJJ aiweke ndipo useme, hata hivyo hawa ni mabalozi wengine si hao unaowasema wewe kwa sababu kila siku wanahama.Mbona hii imetokea tangu wiki iliyopita mkuu na kutangazwa na REDIO WAPO FM Pekee hapa Tanzania.
Mabalozi si viongoziawa vitongoji wao wanaongoza nyumba kumi tu na hawa mara nyingi si viongozi wa serikali zaidi ya kutumika na chama cha mapinduzi kupitishia rushwa ya kanga, vitenge na kofia.Kwa ninavyojua kila Balozi anasimamia kitongoji chake...ina maana hapa ni vitongoji 12....ni hatua nzuri sana kwa Cdm 2015,
Mkuu leo naona umeamua kumtukuza Mungu, Ameni atabaki kuitwa Mungu milele na sio Allah
Safari hii mkuu siyo kivyo tumewabana na tunaendelea kuwa bana.....uwa sielewi wanaibukaje washindi mwisho wa siku?au ndio kuiba kura?watu wamewachoka ila ving'ang'anizi
Habari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika.. Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!