Mbona hii imetokea tangu wiki iliyopita mkuu na kutangazwa na REDIO WAPO FM Pekee hapa Tanzania.
Habari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika.. Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
uongozi wa ccm unaanzia kny shina,balozi akiwa msimamizi wake..na bado watahama wengi zaidi
Habari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika.. Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
Bila shaka bado hawajaikataa CCM moyoniAti wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
mwacheni mungu aitwe mungu
uongozi wa ccm unaanzia kny shina,balozi akiwa msimamizi wake..na bado watahama wengi zaidi
Na unapanda hivyo hivyo mpaka kwa mkuu wa wilaya hadi mkuu wa mkoa hawa wote ni viongozi wa CCM
mi nafikiri kwa upeo wako wa kuelewa hawa c viongozi,mi nakumbuka nilipoitaji kujaza form ya kujiunga chuo nilipofika ofice ya serikal ya mtaa walinirudisha kwa mjumbe wa nyumba 10,akanipatia form ya uthbitisho then nikaileta kwa ofs ya serkali ya mtaa wakaipokea.
Habari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika.. Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
Habari hizi zimetoka kwa ka-nzi (kakitokea Arumeru) huko kuwa tayari hilo limeshafanyika.. Hawa ni mabalozi wa kata ya Maroroni huko Arumeru mashariki. Ati wameamua kuhamia CDM kwa sababu "hawana watu wa kuwaongoza kwani watu wao wote wameingia CDM"!
Kumbe mabalozi wa nyumba kumi ni viongozi
Jana amekamatwa kijana wa chadema maeneo ya USA akiwa na daftari la wapiga kura pamoja na shahada 150 za kupigia kura, yuko chini ya sheria kwa sasa
Mkuu leo naona umeamua kumtukuza Mungu, Ameni atabaki kuitwa Mungu milele na sio Allah