Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
Sasa jamani mbona masheikh wanasema maaskofu walikaa kimya mauwaji ya pemba mwaka huo? Ninyi hili gazet lenye tamko la maaskofu juu ya mauwaji hayo mmelipata wap?
Hawakufanya utafiti ikiwa kama taasis. Walipaswa waseme tamko la wakati huo halikuwa kali kama la sasa. Kama walikuwa hawana uhakika walikuwa na uwezo wao kama Taasis ya dini kutafuta hiyo habari hata kwa kwenda kuwauliza maaskofu wenyewe kabla ya kutoa hilo tamko