Ok nimeshakipata ulichojisadikisha kwenye akili yako, sawa ni ngumu kumwelewesha mtu ambaye tayari ameshakiona anachokielewa ni sahihi, Kumbe waislam si watanzania? Aisee udini huu utatubagua mpaka basi!
Kwa tunaomjua Bw. Miruko hatushangai kwani ni kati ya waandishi wanaoipeleka nchi kubaya kwa kuandika habari za kishabiki.
Kwa sababu ya ushabiki, anajaribu kulazimisha tamko la Maaskofu liwe laana wakati ambapo kwa sababu ya nia njema na ya dhati au kwa kumuogopa Ben, wakalazimika kutoa tamko ambalo naamini kuwa lilihaririwa mara nyingi kabla ya kutolewa.