Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) litusaidie kwenye hoja hizi nne

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Agosti 20, mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), lillibua miadala baada ya kuitaka Serikali kusitisha mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai (IGA), kwa sababu ya hoja kadhaa, ikiwamo wananchi walio wengi hawakubaliani nao.

Kwamba Watanzania na baraza hilo, hawakubaliani na IGA. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wana nchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba.

Wakisema huo ni moja ya mikataba mibovu na ya hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenvewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaji wa DP-World. Katika hoja 10 za baraza hilo ni pamoia na kampuni moja ya DP-World kutawala kazi ndogo za ndani na kukosekana muda wa ukomo.

TEC inatoa hoja hiyo ikiwa ni taasisi yenye nguvu na msaada mkubwa wa maendeleo ya kiroho, kijamii na kiuchumi katika Taifa chini ya jumuiya ndogo 67,000 na parokia 1,300.

Ni taasisi iliyoweka msingi wa matumaini kupitia misimamo inavolinda na kutetea masilahi ya Taifa. Imewahi kufanya hivyo na Watanzania wengi tumekuwa tukibarikiwa sana.

Ni kweli kwamba, mjadala huu umetawaliwa na makundi kadhaa, likiwamo la Watanzania wasiokuwa na uelewa kabisa wanaoweza kuathiriwa na ushawishi wa kundi linalopinga au kuunga mkono.

Binafsi nimeuelewa mkataba huu na asili yake kitaalamu bila kuvumbishwa na kundi lolote kwa sababu nawajibika pia kama Mtanzania kuhoji na kuchochea uwajibikaji wa Serikali.

Lakini kwa kuwa TEC ni taasisi yenye ushawishi, nasukumwa kuhoji maeneo manne yanayoweza kutusaidia Taifa kupata suluhu ya miadala huu wa sakata la bandari wakati Serikali ikiendelea kupokea maoni na kuyafanyia kazi.

Mtazamo wa kwanza ni kuhusu hoja 10 ilizowasilisha ambazo ni msingi wa kupinga mkataba huo wa IGA.

Kuhusu hoja hizi sijaelewa kwamba, ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki? Nasema hivyo kwa sababu hoja hizi zote zilishajibiwa kitaalamu tena kwa ufasaha.

Hii kauli ya kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenyewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaii wa DP-World inatoka kwa wananchi gani? Nauliza hivyo kwa sababu Tanzania sio ya kwanza kuingia mikataba ya IGA inayohusisha huduma za kibandari.

Je, uchunguzi wa TEC unaeleza nini kuhusu uingiaji wa mikataba ya aina hiyo? Kwamba mataifa mengine yaliingia mizuri kuliko Tanzania au mikataba ya aina hiyo ina asili ya kufanana?

Mtazamo wa pili ni kuhusu uzalendo
Hivi ni kweli Serikali na timu nzima ilivohusika katika kuandaa na kusaini mkataba huo sio wazalendo au hawana uwezo wa kitaalamu?

Sawa, ngoja nijaribu kuamini hivyo, lakini vipi kuhusu Bunge, ni kweli pia halina uzalendo pamoja na uwezo wa kuchambua IGA kabla ya kuridhia au waliridhia kwa maslahi yao binafsi?

Sawa ngoja pia nijaribu kuamini pia hilo, lakini vipi kuhusu Mahakama iliyotafsiri hoja za vifungu vya IGA na kuna hakuna shida?

Je, ni kweli pia majaji hawakuwa na uwezo wa kutambua udhaifu kama wazalendo?

Mtazamo wa tatu unajengwa na hoja ya kimazingira.
Sijaelewa kwa nini TEC imeibuka na waraka huo kwa sasa ukiwa umesharidhiwa na Bunge, huku mahakama ikitoa baraka zake.

Katika muktadha huo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo siku chache zilizopita kupitia hotuba va dakika 40 alivoitoa alitu-kumbusha kumbe viongozi wa dini walishawasilisha maoni yao kwa pamoja.

Nikajiuliza vipi kuhusu huu waraka? Ni kwamba TEC imeamua kuleta maoni yake kwa umma nje ya maoni ya pamoja ya viongozi wa dini au mantiki yake ilikuwa ni kuishirikisha jamii kuhusu msimamo wake katika IGA?
Kama ndivyo ili iweje?

Mtazamo wa nne umejengwa katika hoja ya kukubalika kwa Watanzania Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wananchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba. Hoja hi ilikuwa na utafiti wa kutosha au ni kuteleza?

Nimeuliza hivyo kwa kuakisi ufafanuzi wa hoja tano za shemasi kuhusu uhalali wa mfumo wa vyama vingi ulitokana pia na ushawishi wa makundi mbalimbali, iki-wamo viongozi wa kanisa kabla ya Seri-kali kuridhia, licha ya asilimia ndogo sana kupendekeza hilo.

Hii inamaanisha nini katika uongozi? Tutafakari pamoja huku maslahi ya umoja na amani yetu ikiwa kipaumbele zaidi.

Imeandikwa kwenye gazeti la Mwananchi
 
Agosti 20, mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), lillibua miadala baada ya kuitaka Serikali kusitisha mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai (IGA), kwa sababu ya hoja kadhaa, ikiwamo wananchi walio wengi hawakubaliani nao.

Kwamba Watanzania na baraza hilo, hawakubaliani na IGA. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wana nchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba.

Wakisema huo ni moja ya mikataba mibovu na ya hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenvewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaji wa DP-World. Katika hoja 10 za baraza hilo ni pamoia na kampuni moja ya DP-World kutawala kazi ndogo za ndani na kukosekana muda wa ukomo.

TEC inatoa hoja hiyo ikiwa ni taasisi yenye nguvu na msaada mkubwa wa maendeleo ya kiroho, kijamii na kiuchumi katika Taifa chini ya jumuiya ndogo 67,000 na parokia 1,300.

Ni taasisi iliyoweka msingi wa matumaini kupitia misimamo inavolinda na kutetea masilahi ya Taifa. Imewahi kufanya hivyo na Watanzania wengi tumekuwa tukibarikiwa sana.

Ni kweli kwamba, mjadala huu umetawaliwa na makundi kadhaa, likiwamo la Watanzania wasiokuwa na uelewa kabisa wanaoweza kuathiriwa na ushawishi wa kundi linalopinga au kuunga mkono.

Binafsi nimeuelewa mkataba huu na asili yake kitaalamu bila kuvumbishwa na kundi lolote kwa sababu nawajibika pia kama Mtanzania kuhoji na kuchochea uwajibikaji wa Serikali.

Lakini kwa kuwa TEC ni taasisi yenye ushawishi, nasukumwa kuhoji maeneo manne yanayoweza kutusaidia Taifa kupata suluhu ya miadala huu wa sakata la bandari wakati Serikali ikiendelea kupokea maoni na kuyafanyia kazi.

Mtazamo wa kwanza ni kuhusu hoja 10 ilizowasilisha ambazo ni msingi wa kupinga mkataba huo wa IGA.

Kuhusu hoja hizi sijaelewa kwamba, ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki? Nasema hivyo kwa sababu hoja hizi zote zilishajibiwa kitaalamu tena kwa ufasaha.

Hii kauli ya kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenyewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaii wa DP-World inatoka kwa wananchi gani? Nauliza hivyo kwa sababu Tanzania sio ya kwanza kuingia mikataba ya IGA inayohusisha huduma za kibandari.

Je, uchunguzi wa TEC unaeleza nini kuhusu uingiaji wa mikataba ya aina hiyo? Kwamba mataifa mengine yaliingia mizuri kuliko Tanzania au mikataba ya aina hiyo ina asili ya kufanana?
Mtazamo wa pili ni kuhusu uzalendo.
Hivi ni kweli Serikali na timu nzima ilivohusika katika kuandaa na kusaini mkataba huo sio wazalendo au hawana uwezo wa kitaalamu?
Sawa, ngoja nijaribu kuamini hivyo, lakini vipi kuhusu Bunge, ni kweli pia halina uzalendo pamoja na uwezo wa kuchambua IGA kabla ya kuridhia au waliridhia kwa maslahi yao binafsi? Sawa ngoja pia nijaribu kuamini pia hilo, lakini vipi kuhusu Mahakama iliyotafsiri hoja za vifungu vya IGA na kuna hakuna shida?
Je, ni kweli pia majaji hawakuwa na uwezo wa kutambua udhaifu kama wazalendo?

Mtazamo wa tatu unajengwa na hoja ya kimazingira.
Sijaelewa kwa nini TEC imeibuka na waraka huo kwa sasa ukiwa umesharidhiwa na Bunge, huku mahakama ikitoa baraka zake.
Katika muktadha huo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo siku chache zilizopita kupitia hotuba va dakika 40 alivoitoa alitu-kumbusha kumbe viongozi wa dini walishawasilisha maoni yao kwa pamoja.

Nikajiuliza vipi kuhusu huu waraka? Ni kwamba TEC imeamua kuleta maoni yake kwa umma nje ya maoni ya pamoja ya viongozi wa dini au mantiki yake ilikuwa ni kuishirikisha jamii kuhusu msimamo wake katika IGA?
Kama ndivyo ili iweje?

Mtazamo wa nne umejengwa katika hoja ya kukubalika kwa Watanzania. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wananchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba. Hoja hi ilikuwa na utafiti wa kutosha au ni kuteleza?

Nimeuliza hivyo kwa kuakisi ufafanuzi wa hoja tano za shemasi kuhusu uhalali wa mfumo wa vyama vingi ulitokana pia na ushawishi wa makundi mbalimbali, iki-wamo viongozi wa kanisa kabla ya Seri-kali kuridhia, licha ya asilimia ndogo sana kupendekeza hilo.

Hii inamaanisha nini katika uongozi? Tutafakari pamoja huku maslahi ya umoja na amani yetu ikiwa kipaumbele zaidi.
Imeandikwa kwenye gazeti la Mwananchi
Sasa kama haujaelewa si uusomo tena? Unabishaje kitu huelewi? Ni akili gani hizi
 
Agosti 20, mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), lillibua miadala baada ya kuitaka Serikali kusitisha mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai (IGA), kwa sababu ya hoja kadhaa, ikiwamo wananchi walio wengi hawakubaliani nao.

Kwamba Watanzania na baraza hilo, hawakubaliani na IGA. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wana nchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba.

Wakisema huo ni moja ya mikataba mibovu na ya hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenvewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaji wa DP-World. Katika hoja 10 za baraza hilo ni pamoia na kampuni moja ya DP-World kutawala kazi ndogo za ndani na kukosekana muda wa ukomo.

TEC inatoa hoja hiyo ikiwa ni taasisi yenye nguvu na msaada mkubwa wa maendeleo ya kiroho, kijamii na kiuchumi katika Taifa chini ya jumuiya ndogo 67,000 na parokia 1,300.

Ni taasisi iliyoweka msingi wa matumaini kupitia misimamo inavolinda na kutetea masilahi ya Taifa. Imewahi kufanya hivyo na Watanzania wengi tumekuwa tukibarikiwa sana.

Ni kweli kwamba, mjadala huu umetawaliwa na makundi kadhaa, likiwamo la Watanzania wasiokuwa na uelewa kabisa wanaoweza kuathiriwa na ushawishi wa kundi linalopinga au kuunga mkono.

Binafsi nimeuelewa mkataba huu na asili yake kitaalamu bila kuvumbishwa na kundi lolote kwa sababu nawajibika pia kama Mtanzania kuhoji na kuchochea uwajibikaji wa Serikali.

Lakini kwa kuwa TEC ni taasisi yenye ushawishi, nasukumwa kuhoji maeneo manne yanayoweza kutusaidia Taifa kupata suluhu ya miadala huu wa sakata la bandari wakati Serikali ikiendelea kupokea maoni na kuyafanyia kazi.

Mtazamo wa kwanza ni kuhusu hoja 10 ilizowasilisha ambazo ni msingi wa kupinga mkataba huo wa IGA.

Kuhusu hoja hizi sijaelewa kwamba, ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki? Nasema hivyo kwa sababu hoja hizi zote zilishajibiwa kitaalamu tena kwa ufasaha.

Hii kauli ya kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenyewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaii wa DP-World inatoka kwa wananchi gani? Nauliza hivyo kwa sababu Tanzania sio ya kwanza kuingia mikataba ya IGA inayohusisha huduma za kibandari.

Je, uchunguzi wa TEC unaeleza nini kuhusu uingiaji wa mikataba ya aina hiyo? Kwamba mataifa mengine yaliingia mizuri kuliko Tanzania au mikataba ya aina hiyo ina asili ya kufanana?
Mtazamo wa pili ni kuhusu uzalendo.
Hivi ni kweli Serikali na timu nzima ilivohusika katika kuandaa na kusaini mkataba huo sio wazalendo au hawana uwezo wa kitaalamu?
Sawa, ngoja nijaribu kuamini hivyo, lakini vipi kuhusu Bunge, ni kweli pia halina uzalendo pamoja na uwezo wa kuchambua IGA kabla ya kuridhia au waliridhia kwa maslahi yao binafsi? Sawa ngoja pia nijaribu kuamini pia hilo, lakini vipi kuhusu Mahakama iliyotafsiri hoja za vifungu vya IGA na kuna hakuna shida?
Je, ni kweli pia majaji hawakuwa na uwezo wa kutambua udhaifu kama wazalendo?

Mtazamo wa tatu unajengwa na hoja ya kimazingira.
Sijaelewa kwa nini TEC imeibuka na waraka huo kwa sasa ukiwa umesharidhiwa na Bunge, huku mahakama ikitoa baraka zake.
Katika muktadha huo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo siku chache zilizopita kupitia hotuba va dakika 40 alivoitoa alitu-kumbusha kumbe viongozi wa dini walishawasilisha maoni yao kwa pamoja.

Nikajiuliza vipi kuhusu huu waraka? Ni kwamba TEC imeamua kuleta maoni yake kwa umma nje ya maoni ya pamoja ya viongozi wa dini au mantiki yake ilikuwa ni kuishirikisha jamii kuhusu msimamo wake katika IGA?
Kama ndivyo ili iweje?

Mtazamo wa nne umejengwa katika hoja ya kukubalika kwa Watanzania. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wananchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba. Hoja hi ilikuwa na utafiti wa kutosha au ni kuteleza?

Nimeuliza hivyo kwa kuakisi ufafanuzi wa hoja tano za shemasi kuhusu uhalali wa mfumo wa vyama vingi ulitokana pia na ushawishi wa makundi mbalimbali, iki-wamo viongozi wa kanisa kabla ya Seri-kali kuridhia, licha ya asilimia ndogo sana kupendekeza hilo.

Hii inamaanisha nini katika uongozi? Tutafakari pamoja huku maslahi ya umoja na amani yetu ikiwa kipaumbele zaidi.
Imeandikwa kwenye gazeti la Mwananchi
Pitia kwny vile vifungu vya mkataba ambayo TEC walipitia kimoja kimoja. Tofauti na hapo utaonekana chawa kama chawa wengine tu.
Kuhusu, kwamba je, ktk viongozi wote wa serikali, bunge na mahakama wote sio wazalendo, ni kweli sio wazalendo kwa kuzingatia historia ya mikataba mingine ya nyuma kama ile ya madini,gesi, Ngongoro etc.
Kuhusu kampuni ya Dpworld tunajua mikataba ya kilaghai ambayo wameingia na nchi nyingine, ya ovyo, na leo nchi hizo zinavunja mikataba na kuingia kwenye gharama kubwa.
Kuhusu wewe kuuelewa mkataba na asili yake kitaalam ni porojo. Weka hapa CV yako na utaalam ulionao, na utoe hoja za kuridhisha.
Mkataba huu una dalili nyingi za rushwa kubwa, ie, viongozi wetu wengi wamehongwa, na ndio sababu hata unaona kauli zinakinzana ktk kuutetea mkataba wa Dpw. Mara tulimpata Dpw kwenye maonesho, mara tulishindanisha makampuni 8 etc. Tunakumbuka pia ziara ya wabunge takrinan 40, wasanii na waandishi habari uchwara huko Dubai. Nani aligharimia ziara hizi, na kwa sababu gani? Kungekuwa na nia nzuri, wataalamu wa masuala ya bandari ndio wangepelekwa ili kuwajengea uwezo zaidi na sio vinginevyo.
Viongozi wengi walioko kwenye'nafasi' ni wabinafsi, waongo wako tayari kutuuza utumwani ili kujaza matumbo yao na familia zao. Hivi filamu ya royal tour mpaka leo tumeshaambiwa nani aligharimia? Pesa ya mgharimiaji itarudije?
Sasa wewe kwa utaalam wako tupitishe kwenye kifungu kimoja kimoja cha mkataba wa Tanzania na Dubai au Tanzania na Dpw utufafanulie tuone hayo manufaa yaliyopo, maana TEC wametupitisha huko na kutuonesha ulaghai uliopo.
 
Pitia kwny vile vifungu vya mkataba ambayo TEC walipitia kimoja kimoja. Tofauti na hapo utaonekana chawa kama chawa wengine tu.
Kuhusu, kwamba je, ktk viongozi wote wa serikali, bunge na mahakama wote sio wazalendo, ni kweli sio wazalendo kwa kuzingatia historia ya mikataba mingine ya nyuma kama ile ya madini,gesi, Ngongoro etc.
Kuhusu kampuni ya Dpworld tunajua mikataba ya kilaghai ambayo wameingia na nchi nyingine, ya ovyo, na leo nchi hizo zinavunja mikataba na kuingia kwenye gharama kubwa.
Kuhusu wewe kuuelewa mkataba na asili yake kitaalam ni porojo. Weka hapa CV yako na utaalam ulionao, na utoe hoja za kuridhisha.
Mkataba huu una dalili nyingi za rushwa kubwa, ie, viongozi wetu wengi wamehongwa, na ndio sababu hata unaona kauli zinakinzana ktk kuutetea mkataba wa Dpw. Mara tulimpata Dpw kwenye maonesho, mara tulishindanisha makampuni 8 etc. Tunakumbuka pia ziara ya wabunge takrinan 40, wasanii na waandishi habari uchwara huko Dubai. Nani aligharimia ziara hizi, na kwa sababu gani? Kungekuwa na nia nzuri, wataalamu wa masuala ya bandari ndio wangepelekwa ili kuwajengea uwezo zaidi na sio vinginevyo.
Viongozi wengi walioko kwenye'nafasi' ni wabinafsi, waongo wako tayari kutuuza utumwani ili kujaza matumbo yao na familia zao. Hivi filamu ya royal tour mpaka leo tumeshaambiwa nani aligharimia? Pesa ya mgharimiaji itarudije?
Sasa wewe kwa utaalam wako tupitishe kwenye kifungu kimoja kimoja cha mkataba wa Tanzania na Dubai au Tanzania na Dpw utufafanulie tuone hayo manufaa yaliyopo, maana TEC wametupitisha huko na kutuonesha ulaghai uliopo.
Upo makini nafikiri amekuelewa. Kama sivyo tutamuelewesha.
 
Kwahiyo mnataka TEC itoe Tamko la Nyongeza!? TEC wameshatoa Tamko lao; nanyi toeni la kwenu.

Kuendelea kulijadili Tamko la TEC ni kulitangaza zaidi na ni ishara ya kuishiwa hoja.

TEC wameusoma Mkataba; wameuchambua na kuonesha msimamo wao. Nyinyi mnaishia kujadili Tamko na watoa tamko huku mkijibanza kwenye hoja dhaifu ya udini.

Your words and actions are patent proof that TEC is of another level!
 
Wakristo woooteeee watakupinga, halafu watakwambia wao sio wadini 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Agosti 20, mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), lillibua miadala baada ya kuitaka Serikali kusitisha mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai (IGA), kwa sababu ya hoja kadhaa, ikiwamo wananchi walio wengi hawakubaliani nao.

Kwamba Watanzania na baraza hilo, hawakubaliani na IGA. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wana nchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba.

Wakisema huo ni moja ya mikataba mibovu na ya hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenvewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaji wa DP-World. Katika hoja 10 za baraza hilo ni pamoia na kampuni moja ya DP-World kutawala kazi ndogo za ndani na kukosekana muda wa ukomo.

TEC inatoa hoja hiyo ikiwa ni taasisi yenye nguvu na msaada mkubwa wa maendeleo ya kiroho, kijamii na kiuchumi katika Taifa chini ya jumuiya ndogo 67,000 na parokia 1,300.

Ni taasisi iliyoweka msingi wa matumaini kupitia misimamo inavolinda na kutetea masilahi ya Taifa. Imewahi kufanya hivyo na Watanzania wengi tumekuwa tukibarikiwa sana.

Ni kweli kwamba, mjadala huu umetawaliwa na makundi kadhaa, likiwamo la Watanzania wasiokuwa na uelewa kabisa wanaoweza kuathiriwa na ushawishi wa kundi linalopinga au kuunga mkono.

Binafsi nimeuelewa mkataba huu na asili yake kitaalamu bila kuvumbishwa na kundi lolote kwa sababu nawajibika pia kama Mtanzania kuhoji na kuchochea uwajibikaji wa Serikali.

Lakini kwa kuwa TEC ni taasisi yenye ushawishi, nasukumwa kuhoji maeneo manne yanayoweza kutusaidia Taifa kupata suluhu ya miadala huu wa sakata la bandari wakati Serikali ikiendelea kupokea maoni na kuyafanyia kazi.

Mtazamo wa kwanza ni kuhusu hoja 10 ilizowasilisha ambazo ni msingi wa kupinga mkataba huo wa IGA.

Kuhusu hoja hizi sijaelewa kwamba, ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki? Nasema hivyo kwa sababu hoja hizi zote zilishajibiwa kitaalamu tena kwa ufasaha.

Hii kauli ya kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenyewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaii wa DP-World inatoka kwa wananchi gani? Nauliza hivyo kwa sababu Tanzania sio ya kwanza kuingia mikataba ya IGA inayohusisha huduma za kibandari.

Je, uchunguzi wa TEC unaeleza nini kuhusu uingiaji wa mikataba ya aina hiyo? Kwamba mataifa mengine yaliingia mizuri kuliko Tanzania au mikataba ya aina hiyo ina asili ya kufanana?

Mtazamo wa pili ni kuhusu uzalendo
Hivi ni kweli Serikali na timu nzima ilivohusika katika kuandaa na kusaini mkataba huo sio wazalendo au hawana uwezo wa kitaalamu?

Sawa, ngoja nijaribu kuamini hivyo, lakini vipi kuhusu Bunge, ni kweli pia halina uzalendo pamoja na uwezo wa kuchambua IGA kabla ya kuridhia au waliridhia kwa maslahi yao binafsi?

Sawa ngoja pia nijaribu kuamini pia hilo, lakini vipi kuhusu Mahakama iliyotafsiri hoja za vifungu vya IGA na kuna hakuna shida?

Je, ni kweli pia majaji hawakuwa na uwezo wa kutambua udhaifu kama wazalendo?

Mtazamo wa tatu unajengwa na hoja ya kimazingira.
Sijaelewa kwa nini TEC imeibuka na waraka huo kwa sasa ukiwa umesharidhiwa na Bunge, huku mahakama ikitoa baraka zake.

Katika muktadha huo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo siku chache zilizopita kupitia hotuba va dakika 40 alivoitoa alitu-kumbusha kumbe viongozi wa dini walishawasilisha maoni yao kwa pamoja.

Nikajiuliza vipi kuhusu huu waraka? Ni kwamba TEC imeamua kuleta maoni yake kwa umma nje ya maoni ya pamoja ya viongozi wa dini au mantiki yake ilikuwa ni kuishirikisha jamii kuhusu msimamo wake katika IGA?
Kama ndivyo ili iweje?

Mtazamo wa nne umejengwa katika hoja ya kukubalika kwa Watanzania Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wananchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba. Hoja hi ilikuwa na utafiti wa kutosha au ni kuteleza?

Nimeuliza hivyo kwa kuakisi ufafanuzi wa hoja tano za shemasi kuhusu uhalali wa mfumo wa vyama vingi ulitokana pia na ushawishi wa makundi mbalimbali, iki-wamo viongozi wa kanisa kabla ya Seri-kali kuridhia, licha ya asilimia ndogo sana kupendekeza hilo.

Hii inamaanisha nini katika uongozi? Tutafakari pamoja huku maslahi ya umoja na amani yetu ikiwa kipaumbele zaidi.

Imeandikwa kwenye gazeti la Mwananchi
Yaani wewe pamoja na advise unazopewa na nguli wa sheria Prof Shivji, Judge Warioba, Prof tibaijuka Dr Nshala, Mwambukusi bado hujaelewa kinachoendelea najua huwa Kuna wale slow learner lakini ukirudia Mara nyingi najua utaelewa kinachoongelewa. Siyo lazima wote kuelewa na kutaka ufafanuzi wakati wameshakutafunia kila kitu na bado unahoji kulikoni. Hata darasani siyo lazima wote wa pass mtihani wengine watashindwa Kama wewe, hata ukienda kupata tuition lakini utakuwa bado maana akili zao Kama Zina udumavu kiasi furani. Huyu dogo hapo ana akili kuliko wewe jitu zima, Baba anataka kuuza shamba watoto walima na kula wapi dogo anamupeleka Baba yake Police asiuze shamba la urithi. Leo wewe jitu zima mwenye retarded brain, unauliza hao TEC wanachofanya ni nini, unauliza Prof Shivji, Prof Tibaijuka , Dr Nshala na Mwambukusi na wengine wanachofanya ni nini takataka kabisa wewe. Hata Kinana naye amegeuza upepo amefuata watanzania wanataka nini siyo kuunga kila kitu. Zamani wazee wakitaka kuozesha binti yao au kijana wao walikuwa wanaangalia familia zenye akili, wasiwe wavivu kufanya kazi, magonjwa ya kurithi Kama mtindio wa ubongo kama wewe na mengine mengi, kingekuwa kipindi hicho sijui kama ungepata mke maana wewe na familia yako mko na utindio wa ubongo.
 

Attachments

  • VID-20230826-WA0072.mp4
    9.7 MB
  • VID-20230826-WA0074.mp4
    492.7 KB
  • VID-20230826-WA0057.mp4
    7.1 MB
ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki?
Kwan wew unawaamin? Kipi cha kutufanya tuwaamini? Refer mikataba mibovu mingi san, na kibaya zaid hamtaki kubadilika na kuingia mikataba yenye maslahi kwa Taifa na uwazi!! Kiukwel kbs hamuaminiki kweny kuingia mikataba ya kitaifa ❌
 
Agosti 20, mwaka huu, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), lillibua miadala baada ya kuitaka Serikali kusitisha mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai (IGA), kwa sababu ya hoja kadhaa, ikiwamo wananchi walio wengi hawakubaliani nao.

Kwamba Watanzania na baraza hilo, hawakubaliani na IGA. Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wana nchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba.

Wakisema huo ni moja ya mikataba mibovu na ya hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenvewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaji wa DP-World. Katika hoja 10 za baraza hilo ni pamoia na kampuni moja ya DP-World kutawala kazi ndogo za ndani na kukosekana muda wa ukomo.

TEC inatoa hoja hiyo ikiwa ni taasisi yenye nguvu na msaada mkubwa wa maendeleo ya kiroho, kijamii na kiuchumi katika Taifa chini ya jumuiya ndogo 67,000 na parokia 1,300.

Ni taasisi iliyoweka msingi wa matumaini kupitia misimamo inavolinda na kutetea masilahi ya Taifa. Imewahi kufanya hivyo na Watanzania wengi tumekuwa tukibarikiwa sana.

Ni kweli kwamba, mjadala huu umetawaliwa na makundi kadhaa, likiwamo la Watanzania wasiokuwa na uelewa kabisa wanaoweza kuathiriwa na ushawishi wa kundi linalopinga au kuunga mkono.

Binafsi nimeuelewa mkataba huu na asili yake kitaalamu bila kuvumbishwa na kundi lolote kwa sababu nawajibika pia kama Mtanzania kuhoji na kuchochea uwajibikaji wa Serikali.

Lakini kwa kuwa TEC ni taasisi yenye ushawishi, nasukumwa kuhoji maeneo manne yanayoweza kutusaidia Taifa kupata suluhu ya miadala huu wa sakata la bandari wakati Serikali ikiendelea kupokea maoni na kuyafanyia kazi.

Mtazamo wa kwanza ni kuhusu hoja 10 ilizowasilisha ambazo ni msingi wa kupinga mkataba huo wa IGA.

Kuhusu hoja hizi sijaelewa kwamba, ufafanuzi wa kitaalamu wa wataalamu wa Serikali hauaminiki? Nasema hivyo kwa sababu hoja hizi zote zilishajibiwa kitaalamu tena kwa ufasaha.

Hii kauli ya kwamba ni bora kupata matokeo hasi kwa kuendesha bandari wenyewe tukiwa huru badala ya matokeo chanya utumwani chini ya uwekezaii wa DP-World inatoka kwa wananchi gani? Nauliza hivyo kwa sababu Tanzania sio ya kwanza kuingia mikataba ya IGA inayohusisha huduma za kibandari.

Je, uchunguzi wa TEC unaeleza nini kuhusu uingiaji wa mikataba ya aina hiyo? Kwamba mataifa mengine yaliingia mizuri kuliko Tanzania au mikataba ya aina hiyo ina asili ya kufanana?

Mtazamo wa pili ni kuhusu uzalendo
Hivi ni kweli Serikali na timu nzima ilivohusika katika kuandaa na kusaini mkataba huo sio wazalendo au hawana uwezo wa kitaalamu?

Sawa, ngoja nijaribu kuamini hivyo, lakini vipi kuhusu Bunge, ni kweli pia halina uzalendo pamoja na uwezo wa kuchambua IGA kabla ya kuridhia au waliridhia kwa maslahi yao binafsi?

Sawa ngoja pia nijaribu kuamini pia hilo, lakini vipi kuhusu Mahakama iliyotafsiri hoja za vifungu vya IGA na kuna hakuna shida?

Je, ni kweli pia majaji hawakuwa na uwezo wa kutambua udhaifu kama wazalendo?

Mtazamo wa tatu unajengwa na hoja ya kimazingira.
Sijaelewa kwa nini TEC imeibuka na waraka huo kwa sasa ukiwa umesharidhiwa na Bunge, huku mahakama ikitoa baraka zake.

Katika muktadha huo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo siku chache zilizopita kupitia hotuba va dakika 40 alivoitoa alitu-kumbusha kumbe viongozi wa dini walishawasilisha maoni yao kwa pamoja.

Nikajiuliza vipi kuhusu huu waraka? Ni kwamba TEC imeamua kuleta maoni yake kwa umma nje ya maoni ya pamoja ya viongozi wa dini au mantiki yake ilikuwa ni kuishirikisha jamii kuhusu msimamo wake katika IGA?
Kama ndivyo ili iweje?

Mtazamo wa nne umejengwa katika hoja ya kukubalika kwa Watanzania Kwamba, hata kuwe na mazuri kiasi gani, maaskofu wamesema kwa ajili ya umoja na amani ni vema wananchi kusikilizwa chini ya mamlaka waliyonayo katika ibara ya 8 ya Katiba. Hoja hi ilikuwa na utafiti wa kutosha au ni kuteleza?

Nimeuliza hivyo kwa kuakisi ufafanuzi wa hoja tano za shemasi kuhusu uhalali wa mfumo wa vyama vingi ulitokana pia na ushawishi wa makundi mbalimbali, iki-wamo viongozi wa kanisa kabla ya Seri-kali kuridhia, licha ya asilimia ndogo sana kupendekeza hilo.

Hii inamaanisha nini katika uongozi? Tutafakari pamoja huku maslahi ya umoja na amani yetu ikiwa kipaumbele zaidi.

Imeandikwa kwenye gazeti la Mwananchi
Jibu ni moja tu. Tanzania Raisi ndiye anaesikilizwa kuliko vyombo vyote ulivyotaja.

Rejea kauli ya Rostam Azizi. Kwa hiyo ukweli upo pale pale seriakali imevurunda


Na kanisa halijakosea popote ni utaratibu wao wa kutoa maoni
 
Yaani wewe pamoja na advise unazopewa na nguli wa sheria Prof Shivji, Judge Warioba, Prof tibaijuka Dr Nshala, Mwambukusi bado hujaelewa kinachoendelea najua huwa Kuna wale slow learner lakini ukirudia Mara nyingi najua utaelewa kinachoongelewa. Siyo lazima wote kuelewa na kutaka ufafanuzi wakati wameshakutafunia kila kitu na bado unahoji kulikoni. Hata darasani siyo lazima wote wa pass mtihani wengine watashindwa Kama wewe, hata ukienda kupata tuition lakini utakuwa bado maana akili zao Kama Zina udumavu kiasi furani. Huyu dogo hapo ana akili kuliko wewe jitu zima, Baba anataka kuuza shamba watoto walima na kula wapi dogo anamupeleka Baba yake Police asiuze shamba la urithi. Leo wewe jitu zima mwenye retarded brain, unauliza hao TEC wanachofanya ni nini, unauliza Prof Shivji, Prof Tibaijuka , Dr Nshala na Mwambukusi na wengine wanachofanya ni nini takataka kabisa wewe. Hata Kinana naye amegeuza upepo amefuata watanzania wanataka nini siyo kuunga kila kitu. Zamani wazee wakitaka kuozesha binti yao au kijana wao walikuwa wanaangalia familia zenye akili, wasiwe wavivu kufanya kazi, magonjwa ya kurithi Kama mtindio wa ubongo kama wewe na mengine mengi, kingekuwa kipindi hicho sijui kama ungepata mke maana wewe na familia yako mko na utindio wa ubongo.
Utachoka kuelewesha huyo ni shabiki wa siasa
 
Back
Top Bottom