Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
I wish ningekuwepo huko tujumuike pamoja. Nawatakia kila la kheri mlioko huko kindly jitokezeni kuunga mkono maandamano hayo.
 
Hili wazo limekuja baada ya kuona wadau wa USA wakianzisha kitu kizuri sana-vuguvugu la mabadiliko Tanzania. Hili nalo lifanyike ulaya, amerika, asia na afrika. NA TANZANIA PIA. Wenzetu wameweza kuendesha mabadiliko haya kutokana na mifumo ya nchi zao kutokuwa kandamizi sana. Na pale zilipokuwa kandamizi kupitiliza ndo ulikuwa mwanya wa mabadiliko. Kwa Tanzania tupate kwanza mwongozo toka diaspora ndipo tujue nini cha kufanya. Na nyie vyombo vya usalama kwani mnaishi Mars? Nyie hamguswi na haya matatizo? Ifike wakati muamke. Na wakati wenyewe ndo huu. Nchi ikiwa na mabadiliko, nyie pia yanawafikia. Maji ya bendera hayatawafikisha popote. Tatizo jingine ambalo linakwamisha mabadiliko nchi hii ni matabaka. Changamoto wanaachiwa wanasiasa wa upinzani na wajasiriamali, na kwa kiasi kidogo wanafunzi. Sie watu wa tabaka la kati tumejiweka kando. Na hao wa diaspora ni machinga? La! Ni watz wenye uchungu na taifa hili dhidi ya wenye uchu na taifa hili. Babu Mahimbo alisema kuwa hatakufa hadi ccm itakapokufa. Ccm ilishakufa kabla ya babu. Alituambia mmm kuwa dereva keshakufa nasi abiria hatuna habari. Hadi itokee ajali ndo tutajua. Nami nasema, mapinduzi halisi ya taifa hili yataanzia nje ya Tanzania. Kama ilivyokuwa wakati wa kumng'oa mkoloni na vibaraka, nchi hii (pamoja na zingine) ilikuwa ardhi oevu ya kustawisha wanaharakati kwa ajili ya kukomboa nchi zao. Sasa nchi zao zitakuwa ardhi oevu za wanaharakati katika kuikomboa Tanzania
 
Kutokana na kuchoka na hali ngumu inayoendelea hapa Tanzania, ndugu zatu wanaoishi USA wameandaa maandamano ambayo yatakuwa ya amani kupinga utawala mbovu wa JK hasa baada ya kushindwa kuwachukulia hatua masfidi hapa nchi.<br />
<br />
Hii ni sehemu ya maandalizi hayo kama yalivyoandikwa na ELIAKIM MALLYA.<br />
<br />
Tunaandaa maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubali kushiriki kwenye maandamano hayo. Tunataka watu wengi zaidi kujitokeza. Hii ni kumshinikiza huyu fisadi papa na mzururaji kushugulikia matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatahitimishwa na kupokelewa na viongozikutoka United States Department. Tayari tumetuma maombi kupinga misaada marekani inayopa Tanzania, kwani hayasaidii Jamii bali Kikwete na genge lake la majambazi<br />
<br />
Wote mnakaribishwa karibishwa. Maandamano ya Amani yanaruhusiwa marekani ilimradi mtu hajavunja sheria nchini. Ukiwa na makaratasi yako, njoo tulikomboe taifa letu. Ukombozi wa TANZANIA upo mikononi mwetu. Mabango yanachapishwa tarehe 24, Tunaomba mawazo tofauti kuhusu ujumbe tutakaobeba kwenye mabango yetu. Tumechoka na Kikwete, dawa nikuanza maandamano.Tupo tayari kufa sasa. Tunisia iliokolewa na watu tu kama sisi, tukifa bahati mbaya vizazi vijavyo vitafaidi. Tafadhali sambaza ujumbe. Tutatoa tamko rasmi ya maandalizi tarehe 20 mwenzi huu Ukitaka kushiriki tuma barua pepe EliakimMallya@yahoo.com<br />
<br />
Raia wa kawaida anayo haki ya kumfanya Kikwete Anyimwe VISA. Kwa Kupinga Ujio wa Kikwete, au yeye kunyimwa VISA tumeni emails nyingi iwezekanavyo kwenda East African Affairs Bureau. Email Adress wiegertjr@state.gov
<br />
<br />

tuko pamoja mkuu! Mimi nashauri pia ziwepo picha zinazoonesha tofautii kati ya mafisadi na walala hoi, kwa mfano tofauti za makazi! Pia ziwepo picha zinazoonesha shule zetu za kata ambazo wanafunzi wanakaa chini..! Nadhan itamchoma sana hiyo...!
 
Ufisadi wake ni kwa kuwa yeye Muislaam. Ufisadi wenu hata kodi mpaka mmelazimishwa kulipa, miaka yote hata kodi ya serikali mlikuwa mnaiba. Sasa nyinyi wachaga hata kodi basi hamtaki kulipa halafu mnajidai mnaipenda nchi yenu? mnanshangaza!

Haya dada/kaka umesikika punguza jazba.
Ila unaibidi uiulize serikali ilikuwa wapi isichukue kodi yake miaka yote hiyo. Wenye akili tunajua mnatengeneza kashfa ila mmeula. Na dada ufisadi hauna kabila yeyote anaweza kuwa fisadi, cheap mind goes to cheap staff.

Tunaandamana DC mpaka akimbie tena sie yeye tu mwaka huu tunahakikisha haji mtu kuuza sura na fedha za masikini USA
 
Early in life,i had learned that if u want something,you had better make some noise,,keep up good people we are together
 
Early in life,i had learned that if u want something,you had better make some noise,,keep up good people we are together
 
maneno mengi lakini utakalazaji zero. Au mnataka kama yale yanayoendelea Uingereza.<br />
<br />
Hakuna lolote zaidi ya kutaka kuleta shari nchini mwenu. Kwanza malizeni yale ya Arusha kwanza kabla kufikiria mengine.
<br />
<br />
mambo ya arusha yamekwisha,ni magamba wanaoturudisha nyuma na rushwa zao walizojijengea kama utamaduni.
 
<br />
<br />
Hakuna haja ya kwenda kwenye jukwaa la lugha mkuu? Naona saa hizi spelling unkosoa hapa hapa. Jamaa kwa majivuno ni hatari, Mungu angekupa na ufahamu mmhh!!!

Unasumbuliwa na moja au yote katika haya hapa:

When the brain is healthy it functions quickly and automatically. However, when problems occur, the results can be devastating. Some of the major types of disorders include:


  • neurogenetic diseases, eg. Huntington’s disease and muscular dystrophy;
  • developmental disorders, eg. cerebral palsy;
  • degenerative diseases, eg. Parkinson’s disease and Alzheimer’s disease;
  • metabolic diseases, eg. Gaucher’s disease;
  • cerebrovascular diseases, eg. stroke and vascular dementia;
  • trauma, eg. spinal cord and head injury;
  • convulsive disorders, eg. epilepsy;
  • infectious diseases, eg. AIDS dementia; and
  • brain tumors
 
In the U.S we're protected by the first amendment just to let you know.

"Congress shall make no law respecting an
establishment of religion, or prohibiting the
free exercise thereof; or abridging the freedom
of speech, or of the press; or the right of the
people peaceably to assemble, and to petition
the Government for a redress of grievances."

Nilidhani US Amendment I inatetea matusi! Bado nawashauri, msiandike mitusi kwenye mabango yenu...
 
JK Ndio Rais wa Tanzania na anafanya kazi kwa bidii sana kuhakikisha wote tunaenda shule bila kubaguwana, anahakikisha barabara zote zinapitika bila kubaguwana, anahakikisha Mtwara, Tanga, Kigoma, Tabora, barabara zinafika na maisha yanaboreshwa.<br />
<br />
Anahakikisha kuwa sehemu zote zilizoachwa nyuma ki maendeleo kwa makusudi kabisa zinazifikia zile zilizo pendelewa kwa haraka sana.
<br />
<br />
umesahau-anaenda sauz kuomba msaada wa fedha na kuambiwa,mbona kuna fedha za watz ambazo ni robo ya bajet nzima!
 
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yataishia STATE DEPARTMENT. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu, na kuiaca familia yake ikoroge nchi yetu. Ridhiwani anamilika robo ya uchumi wa Tanzania? Kwani Tanzania ni Tunisia....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe kwenda eliakimmallya@yahoo.com

Tayari watu 974 wamesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani. Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja. Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi



UPDATE
Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashangaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.

1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, NJ etc...)
2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)

Tukielekea mwisho wa mwezi huu, tutawapa ratiba kamili ya maandamano, yatakayoanzia sehemu"maalum" kuendelea kwenye Ukumbo wa DICOTA, Ubalozini , hoteli atakayofikia FISADI Kikwete na kumalizikia STATE DEPARTMENT. Tutakesha hotelini, chakula kitakuwepo na huduma zote muhimu pia zitakuwepo. Tuko pamoja hadi kieleweki. Mimi ni mwana CCM toka UVCCM lakini naapa ya Kwamba TUMECHOKA na JK. Tunamsubiri Marekani, hata kama ni miaka miwili tunamsubiri, wadhamani wapo kutusaidia. Wanaotaka Kujiunga kwenye maandamano, tumeni barua pepe kwenda
eliakimmallya@yahoo.com

Kadhalika, tumeni malalamiko mengi iwezekanavyo kwenda
wiegertjr@state.gov Ili kikwete na wapambe wake wanyimwe VISA, kwani serikali ya marekani haiwezi kutoa VISA mtu yeyote anapowekewa petition. Jamani msiogope, huu ni wakati wa ukombozi. Mimi nimefika hapa mwezi sasa, nipo uhamishoni hadi kieleweke.

Tumemtumia Yule Dada Kipenzi cha Watanzania Lisa Rockerfeller kuwa Mzungumzaji mkuu. tunasubiria majibu toka kwake

TUUNGANE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE


Hapo kwenye red, hongereni!
 
Kupinga Kikwete na kutokuona anayoyafanya, ni udini wa waziwazi wala haupingiki.<br />
<br />
Niambie ni Rais gani aliyetengeneza Kilomita 11,300 za barabara za lami tokea mkolonni, nyerere, mwinyi na mkapa?
<br />
<br />
tatzo lako hujapata elimu itakayokufanya uweze kulink kati ya ongezeko la watu na maendeleo yanayotakiwa kufikiwa.unatumia kauli za rejareja sana.! Mbona sumbawanga wanashindwa kusafirisha mahindi yao na kuuza mikoa yenye njaa?
 
ni nini thamani ya democrasia?? Hapa ni swali gumu sana lakini democrasia thamani yake mara nyingi huwa damu za watu. Si jambo zuri kusema damu lakini ndiyo ilivyo na tanzania damu zimeshamwagika anzia zanzibar , arusha , tarime , moshi wakati wa mrema,,, na sehemu nyingi ambapo bado mna kumbukumbu nazo.we have paid already and now we need to have our right.....come up people together we can
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom