Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Alaaa! Kuumbeee! Yaani upupu wooote anaotuletea humu ni jitihada za kutetea maslahi yatokanayo na ufisadi! Halafu anajiita muislamu!

Tatizo la ndugu zetu waislamu siku zote ni kuua, na kulalamikia kila kitu kuhusiana na uislamu. Fairfox. Ingawa wewe ni msaidizi wa Salva, naona PR inakushinda kidogo. Tunayozungumzia siyo udini. tunazungumzia hali ngumu ya maisha Tanzania. Tunazungumzia, sukari kilo moja sh.2000. tunazungumzia mafuta ya petroli kupanda kuliko kawaida, tunazungumzia ugumu wa maisha, ambayo yote haijui udini. Wewe ndo unajua udini kwa maana mzee wa Symbion ameshakukatia hela. Kumbuka watanzania wangapi wanalala njaa, waislamu na wakristo. Wewe kila uchao naandamana na JK na marupurupu unayoyapata hujui nini kinaendelea mitaani. Naomba utafakari sana kabla haujaleta udini kwa maana tatafika mbali na wewe. Tunachotaka sisi ni maandamano hili huyu fidhuli Kikwete aondoke madarakani tumechoshwa naye. akili butu
<br />
<br />
 
Nendeni tu mtakaangiwa kuku na bia za bure, mimi nilijua wapuuzi tunao hapa bongo tu kumbe na huko wako. Kigoma kuwa Dubai halafu iweje? kwanza wanakigoma waache kukaa kweye vijiwe vya kahawa na waanze kujishughulisha kama mikoa mingine. Wanataka flyover wakati hata gari ni za tabu.
 
Mwanza kuwa Amsterdam ya Africa
Tanga kuwa jiji la viwanda
Dar kupata metro-subway
Mbeya kupata meli
Kigoma kupata meli
Bukoba kupata meli
Shinyanga kuwa na university tatu
Sumbawanga kuwa na international airport
Bongoflavor artists kupatiwa studio na mtambo mpya na wa kisasa wa kurekodi kuliko wowote ktk Africa
Chalinze kuwa na international airport
Iringa kuwa na international airport etc etc
 
Nendeni tu mtakaangiwa kuku na bia za bure, mimi nilijua wapuuzi tunao hapa bongo tu kumbe na huko wako. Kigoma kuwa Dubai halafu iweje? kwanza wanakigoma waache kukaa kweye vijiwe vya kahawa na waanze kujishughulisha kama mikoa mingine. Wanataka flyover wakati hata gari ni za tabu.
<br />
<br />
Kamati yenu ya kupumbaza waTZ imeshindwa.
Ff kasepa umekuja wewe Kandambili.
 
Unanshangaza sana, ni nani aliyeshindwa kununua hiyo sukari ya 2,000? wewe kama unawajali sana Watanzania si ungeleta sukari uiuze rahisi, ni nai aliyekukataza na Tanzania ni soko huria?

Kikwete madarakani haondoki, tulimchaguwa kwa kura nyingi sana na amefanya ,azuri mengi sana kwa Tanzania kiasi ambacho kila anachokifanya ukijumlisha ya marais wote waliopita hakuna anaemfikia. Tuongeeni ukweli, hakuna zaidi ya dini yake inamfanya ashambuliwe na wakristo. Sioni sababu nyingine yoyote, mimi naku challenge tuanze kuchambuwa kitu kimoja kimoja tuone ni Rais yupi aliyefamya mema zaidi yake. Msitake kuudanganya umma, zote ni chuki za kidini na hususan linapokuja suala la elimu ndio inawauma sana , kwani mnajuwa kuwa sasa utawala unawaponyoka.

unajua kati ya wasaidizi wa kikwete, wewe ndo una dharau kuliko wote. Unajijua sana, una mdomo mchafu kweli, dawa yako ni Riz1
 
Ya Uingereza yametufundisha Acheni kuganga njaa. Maandamano sio suruhisho hata kidogo labda muwe mnataka kuonekana CNN au Ndugu zenu hawajawaona siku nyingi kwa vile hamjarudi. Nauliza watu wengi wanasema na schedule Hizi nani akaandamane???
 
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa

Zo%^&&*.....bi Mkubwa wewe!!!, Laana itokanayo na machozi ya watanzania na iwe juu yako milele wewe na familia yako, na kizazi chako!! Amen
 
Kama mnawajibu hao wajinga nanyi ni wajinga msiwajibu mnatoka nje ya mada tayari jaman n magamba tu hao
 
Hiyo wall yenu ya mapinduzi sijahiona labda hangalieni mpangilio wake vizuri kazi nyema makamanda wetu
 
It seems you are to pron to forgetting, you have just forgotten that Kikwete was the first President of Africa to be invited by Obama and you have also forgotten that before saying goodbye to the Americans, George Bush spent 4 good days in Tanzania, records for Kikwete in both cases. Ask yourself WHY?
And that's the most important thing since slice bread, huh!
 
Kwa tuliwahi kukaa pale na mpaka leo kuna familia yangu baadhi wanakaa pale huwezi kubisha. naweza kukutajia hata kwa majina nani amekana na nani raia mpaka leo.
lakini wa tanzania wote pale wana nia ya kupata uraia wa marekani ila vigezo na taratibu ndio vinasumbua.
Rudi kwenye hoja maisha ya watu yanakuhusu nini...? Tumia ile ID yenye jina lako basi mbona unajificha kwenye hii..!?
 
Duhh kumbe na wewe uko nje ya Tanzania halafu unadanganywa hakuna maendeleo unakubali? si ungetazama statistic za UN na mashirika mengine ya Kimataifa kuujuwa ukweli.
It's not what the UN says but how the real wananchi feel the pinch, when you don't have power or gas (petrol), that's some real shit.
 
kwa kosa lipi?

raisi na awe na dini yeyote ile, kikubwa kama kweli anaamini dini yake na ni mcha mungu basi atafanya kazi vizuri, kwani ahakuna dini yeyote hapa duniani inayotaka mtu afanye mabaya kama ufisadi... Labda iwe dini ya shetani...
 
<font color="#a52a2a"><b>Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa</b></font>
<br />
<br />
hivi wewe una akili kweli? Rekebisha username yako..haina uhusiano na the way ulivyo!
 
Jaman sijuhi tz inalaaana gan na kama imelogwa na mlogaji kafa huuuwiiiiiiii Mungu tusahidie
 
Kinachonisikitisha jamani, wanaoumia wapo nje ya nchi hii... Tuweni wazalendo na sisi! Kikwete hafai, huo ni ukweli usiopingika, ni rais ambaye amenufaika yeye na watoto wake... Tumkumbukeni Nyerere, alikuwa hajitengi na jamii, kuna kipindi alikuwa anaingia mpaka shambani kulima na wananchi, ameshiriki kupanda miti na kupasua kuni bila kujali yy ni rahisi. Tunataka masais ambao hawaweki MATABAKA! Lakini hivi sasa kuna matabaka kati ya viongozi na wananchi wanaotawaliwa. SIJAONA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA! Kweli sijaona, ametudanganya tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom