Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,949
Alaaa! Kuumbeee! Yaani upupu wooote anaotuletea humu ni jitihada za kutetea maslahi yatokanayo na ufisadi! Halafu anajiita muislamu!
<br />
<br />Tatizo la ndugu zetu waislamu siku zote ni kuua, na kulalamikia kila kitu kuhusiana na uislamu. Fairfox. Ingawa wewe ni msaidizi wa Salva, naona PR inakushinda kidogo. Tunayozungumzia siyo udini. tunazungumzia hali ngumu ya maisha Tanzania. Tunazungumzia, sukari kilo moja sh.2000. tunazungumzia mafuta ya petroli kupanda kuliko kawaida, tunazungumzia ugumu wa maisha, ambayo yote haijui udini. Wewe ndo unajua udini kwa maana mzee wa Symbion ameshakukatia hela. Kumbuka watanzania wangapi wanalala njaa, waislamu na wakristo. Wewe kila uchao naandamana na JK na marupurupu unayoyapata hujui nini kinaendelea mitaani. Naomba utafakari sana kabla haujaleta udini kwa maana tatafika mbali na wewe. Tunachotaka sisi ni maandamano hili huyu fidhuli Kikwete aondoke madarakani tumechoshwa naye. akili butu
<br />