Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania.
Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani.
Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa.