Washington: John Mnyika aanza ziara kwa kishindo, atembelea VOICE OF WASHINGTON DC. Ailipua sheria ya Uchaguzi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,340
Screenshot_2023-12-06-23-15-12-1.png


Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania.

Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani.

Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa.
 
View attachment 2835142

Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania

Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani .

Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa
Tunahitaji katiba mpya.
Bila Katiba mpya hakuna uchaguzi

Heko Mnyika kwa kuufikishia ulimwengu kilio chetu wananchi
 
View attachment 2835142

Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania

Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani .

Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa
Yeye anataka kuishia USA maana wenzake wako Belgium na Canada
 
Mbona hapatikani kwenye vyombo vya habari huko marekani, na hiko kishindo ni kishindo gani.
Kishindo cha wapi usa river?
 
Huyu katumia zaidi ya milioni 300 kwenye ziara hii, anaenda kupiga mdomo tu ili ale ruzuku ya Chadema,tangu akiwa kijana mdogo yeye ni kupiga mdomo tu, hana shamba, hana maradi wowote, ni mdomo tu
 
Kitakachotokea ni kile kile tulichokizoea

Hakutakuwa na tume huru ya Uchaguzi, Katiba mpya haitapitishwa

Na CCM itashinda tu, hata kibabe na hakuna wa kuwafanya chochote kwakuwa Dola ni yao

Pia baadhi ya Viongozi wa vyama vya Upinzani watahongwa fedha na kutulia au kususia baadhi ya chaguzi

HAKUNA MAPYA NCHI HII
 
Ukitaka kujua CDM imeishiwa basi mfano hai ni uteuzi wa John Mnyika kuwa katibu mkuu.

Sio kwamba Mnyika ni mwanasiasa mmbovu. La hasha Mnyika alishaweka wazi malengo yake baada ya 2020 hata gombea ubunge na wala hataki uongozi wa siasa, isipokuwa atabaki mwanachama mtiifu wa CDM.

Katika wanasiasa walioshiba na kutumia mshahara wao vizuri kwenye investment ni Mnyika na mtu anae ridhika haraka.

Hiyo nafasi ya katibu mkuu kapewa kwa sababu ya usaliti wa aliekuwa kaishika kuamia CCM.

Hila kwenye kichwa cha Mnyika alishastaafu siasa 2020 baada ya hapo aendelee na maisha mengine.

Kwa sasa kwenye hiyo nafasi analipa fadhila tu kwa kuombwa na Mbowe (mind you Mbowe ana amini loyalty ya watu wawili tu Mnyika na Salum Mwalimu huyu ni mtoto wake wa kufikiia ndio yupo comfortable kudhurula nae).

Ila Mnyika hana shida na hiyo nafasi, wala mshahara wake na marupurupu yake; anaonekana ana mbinu zingine za kutengeneza hela zinazorodhisha kwa maisha anayoyataka yeye sio lazima utajiri mkubwa.

Ndio maana umuoni Mnyika kushiriki kwenye mikutano yao huko mikoani kutafuta posho kama wenzake.

Mnyika kwa sasa yupo kwenye siasa kwa sababu ya loyalty kwa heshima ya god father wake Mbowe and nothing else; deep down angependa kuwa raia wa kawaida. na kuangaika na mikakati yake mengine ya kuingiza kipato nje ya siasa. Hans njaa ya mshahara wa million saba kuna sehemu kubwa anaona anaweza tengeneza zaidi ya hiyo akiachwa huru.

Hutaki acha

Ujinga zaidi ni kuamini Mnyika ni tumaini la kesho la CDM.
 
View attachment 2835142

Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania.

Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani.

Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa.
Hivi huyu yeye hajafanikiwa kujenga Gorofa? La Mbowe limekamilika
 
View attachment 2835142

Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania.

Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani.

Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa.
Fanya masahihisho kwenye heading. Ni Voice of America (VOA) na sio Voice of Washington (VOW).
 
Ukitaka kujua CDM imeishiwa basi mfano hai ni uteuzi wa John Mnyika kuwa katibu mkuu.

Sio kwamba Mnyika ni mwanasiasa mmbovu. La hasha Mnyika alishaweka wazi malengo yake baada ya 2020 hata gombea ubunge na wala hataki uongozi wa siasa, isipokuwa atabaki mwanachama mtiifu wa CDM.

Katika wanasiasa walioshiba na kutumia mshahara wao vizuri kwenye investment ni Mnyika na mtu anae ridhika haraka.

Hiyo nafasi ya katibu mkuu kapewa kwa sababu ya usaliti wa aliekuwa kaishika kuamia CCM.

Hila kwenye kichwa cha Mnyika alishastaafu siasa 2020 baada ya hapo aendelee na maisha mengine.

Kwa sasa kwenye hiyo nafasi analipa fadhila tu kwa kuombwa na Mbowe (mind you Mbowe ana amini loyalty ya watu wawili tu Mnyika na Salum Mwalimu huyu ni mtoto wake wa kufikiia ndio yupo comfortable kudhurula nae).

Ila Mnyika hana shida na hiyo nafasi, wala mshahara wake na marupurupu yake; anaonekana ana mbinu zingine za kutengeneza hela zinazorodhisha kwa maisha anayoyataka yeye sio lazima utajiri mkubwa.

Ndio maana umuoni Mnyika kushiriki kwenye mikutano yao huko mikoani kutafuta posho kama wenzake.

Mnyika kwa sasa yupo kwenye siasa kwa sababu ya loyalty kwa heshima ya god father wake Mbowe and nothing else; deep down angependa kuwa raia wa kawaida. na kuangaika na mikakati yake mengine ya kuingiza kipato nje ya siasa. Hans njaa ya mshahara wa million saba kuna sehemu kubwa anaona anaweza tengeneza zaidi ya hiyo akiachwa huru.

Hutaki acha

Ujinga zaidi ni kuamini Mnyika ni tumaini la kesho la CDM.
Upo sahihi. Magorofa anajenga Mbowe tu tena kwa Hela za umma za Ruzuku
 
View attachment 2835142

Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania.

Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani.

Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa.
Voice of Washington DC = Voice of America? Wewe mfuasi wa Mbowe uliandika huu uzi ukiwa umelewa mataputapu?
 
Back
Top Bottom