..someni hapo kwenye RED.
..meli hiyo ni mali ya waZNZ.
..imesajiliwa na serikali ya waZNZ.
..kwanini Maalim Seif atubebeshe mzigo wa lawama kwa kuzama kwa meli hiyo??!!
..anadai waziri wa Zanzibar hapaswi kubeba lawama kwasababu safari ya meli haikuanzia ZNZ[read ilianzia Tanganyika].
..meli hiyo ni mali ya waZNZ.
..imesajiliwa na serikali ya waZNZ.
..kwanini Maalim Seif atubebeshe mzigo wa lawama kwa kuzama kwa meli hiyo??!!
..anadai waziri wa Zanzibar hapaswi kubeba lawama kwasababu safari ya meli haikuanzia ZNZ[read ilianzia Tanganyika].
Makamu wa Kwanza wa Rais alitumia fursa hiyo kutoa mkono wa pole kwa wananchi walioathirika kutokana na ajali mbaya ya boti ya Mv. Skagit ilisababisha vifo vya watu kadhaa.
Amewataka wananchi kuweka imani zao kuwa suala hilo limetokana na mipango ya Mwenyezi Mungu, na kwamba hakuna mtu angeweza kulizuia lisitokee. Katika hatua nyengine Maalim Seif amempongeza aliyekuwa Waziri wa Miundombinu na Mawasilino Mhe. Hamad Massoud Hamad kutokana na kitendo chake cha kijasiri cha kuamua kujiuzulu nafasi hiyo.
Amesema kitendo hicho cha kuwajibika kisiasa kimemjengea heshima yeye mwenyewe, chama chake na taifa kwa ujumla, kitendo ambacho linapaswa kuingwa na viongozi wengine wa nchi iwapo litatokea jambo lolote linalogusa maslahi ya wananchi. "Mhe. Hamad amekuwa mwalimu wa viongozi wa Afrika, kwani viongozi wa Afrika hawana utamauni huo hata likitokea jambo gani, lakini yeye ameamua kujisafisha licha ya kuwa hakuwa na kosa kwa sababu safari ili haikuanzia Zanzibar", alifahamisha Maalim Seif
Kwa upande wake Mwakilishi wa Jimbo la Ole Mhe. Hamad Massoud Hamad ambaye alikuwa akishikilia nafasi hiyo ya uwaziri, amesema aliamua kuachia nafasi hiyo siku chache baada ya tukio, ili kujijengea heshima kisiasa. "Niliamua kujiuzulu nafasi ile kwa nia njema, sikulazimishwa wala kupokea shinikizo kutoka kwa mtu yoyote", alisema Hamad Massoud.