Maalim Seif adai waziri wa Zanzibar hana makosa, safari ya meli ilianzia Tanganyika!!

YApo mabandiko yanaelekeza kuwa meli hizi "skagit na kalama' haziwezi kustahmili high wind and big waves,zikikutana na hali hiyo zina tendency ya ku roll over,kwa sina recomendaton ya ku operate bandari za ndani ndani sio open sea tena isizidi 20 nm. hiyo ndio hitilafu ya kimuundo na hata huko america issue hii ilizifanya ziwe grounded.

Kwa hiyo walaumiwe USA waliotuuzia kifo? Hata iweje.

Bandari ya mwisho ilipotoka hizo meli ni lazima ifate kanuni na isingeziruhusu kuondoka kama zinajulikana zina matatizo. Hilo halipingiki.

Jee, walizikaguwa na wakakubali abiria wapakiwe kwenye vyombo vibovu bandari ya Dar Es Salaam?

Jee, hayo unayoyasema walikuwa wanayajuwa na wakaruhusu abiria wapakiwe bandari ya Dar Es Salaam?

Kama majibu ni ndio, basi wanamakosa kwa kuwaacha abiria wasiojuwa kitu kuhusu hizo meli kuzipanda. Na kama jibu hapana basi wanamakosa kwa kufanya uzembe.

Hii lawama hakwepeki, lazima vichwa viondoke bandarini Dar. na Hususan wenye dhamana ya usalama wa watumiaji hivi vyombo.
 
na bado vunjeni muungano kwanza siku kubane huko muje bara tuwalishe vitimoto wajinga wakubwa nyie! KILA SIKU TANGANYIKA TANGANYIKAAAA AAARGH,MA BWABWA NYIE NANI ASIYEJUA KUWA MNANGOJA UVUNJIKE ILI MUMPOKEE CAMEROON!
 
Hawa wazenj hizo laana za kuchoma makanisa ndizo zinazowatafuna!!

Huku Bongo ajali zinasababishwa na laana zipi?
https://www.jamiiforums.com/jamii-p...o-hapo-78-wajeruhiwa-kwenye-ajali-tabora.html

Happy Sikalengo anusulika ajali ya basi, 3 May 2012 Dodoma - YouTube

Owino Misiani Jashirati: -MV Bukoba (onimo) - YouTube

Uzembe unaupachika jina zuri tu( laana). Ukishasema ni laana maana yeke ni kuwa majanga hayamo tena katika uwezo wa mamlaka husika kuzuia yasitokee.Unahalalisha,unabariki uzembe.
 
Kwa hiyo walaumiwe USA waliotuuzia kifo? Hata iweje.

Bandari ya mwisho ilipotoka hizo meli ni lazima ifate kanuni na isingeziruhusu kuondoka kama zinajulikana zina matatizo. Hilo halipingiki.

Jee, walizikaguwa na wakakubali abiria wapakiwe kwenye vyombo vibovu bandari ya Dar Es Salaam?

Jee, hayo unayoyasema walikuwa wanayajuwa na wakaruhusu abiria wapakiwe bandari ya Dar Es Salaam?

Kama majibu ni ndio, basi wanamakosa kwa kuwaacha abiria wasiojuwa kitu kuhusu hizo meli kuzipanda. Na kama jibu hapana basi wanamakosa kwa kufanya uzembe.

Hii lawama hakwepeki, lazima vichwa viondoke bandarini Dar. na Hususan wenye dhamana ya usalama wa watumiaji hivi vyombo.
Watu wanatoka nje ya mada si kwa makusudi ni kwasababu ya kauli ya Maalim Seif.
Seif alipomsafisha waziri wa SMZ kwa kusukuma mzigo kwa Dar es Salaam ilikuwa ni 'irresponsible,ditasteful and lackadaisical approach'

Hakuna anayeweza kuileza kauli hiyo ililenga kumaanisha nini. Kama makamu wa Rais, Seif alipaswa kuwa na fact zote on the table before jumping to silly conclusion.

Wakati uchunguzi unaendelea tuna nadharia zifuatazo;
1. Kuna uwezekano abiria walikuwa wengi kupita kiasi na kusababisha meli isiweze kuhimili misuko suko ya hali ya hewa
2. Kuna uwezekano hali ya hewa ilikuwa nzuri na ilichafuka bila kutarajia
3. Upo uwezekano kuwa vyombo vinavyoshughulikia hali ya hewa pande zote havikuwa na mawasiliano mazuri.
4. Upo uwezekano kuwa chombo kilikuwa kibovu kutumika
5. Upo uwezekano kuwa kubadilisha muundo wa chombo kulisababisha meli kutokuwa na uhalisia wa meli bali karai.

Ukiangalia hayo yote ni ngumu kufikia conclusion katika mkutano wa kisiasa bila kuwa na ukweli wa kitaalamu.
Kujiuzulu kwa waziri ni jambo la kiungwana, hiyo hailalishi kuwepo na watuhumiwa eti kwasababu yeye amejiuzulu tu.

Tukianza kusema Dar es Salaam walikuwa na makosa, je spice Islander mbona hakuna aliyejiuzulu wala hatujasikia aliye beba lawama?

Kuhusu ukaguzi wa vyombo, nadhani Zanzibar maritime organization iliundwa mahususi kushughulikia usajili na usalama wa vyombo hivyo. Kama waliridhika na usalama wa chombo, iweje Dar es Salaam wahusishwe na ubovu au uzembe nje ya masuala ya muungano? SMZ ina wajibu wa kusimamia wakala au mashirika yake kufanya kazi kama inavyopaswa, mbona sisikii yoyote akitupa lawama kwa SMZ yenye dhamana ya usalama wa mali na raia wake.

Nabaki kuamini kuwa iwe imetokea ZNZ au Dar es salaam bado kuna upotevu wa maisha ya wanadamu ambayo ni muhimu sana. Uchunguzi wa kina ufanyike kubaini tatizo na wahusika wachukue dhamana kwa kadri ya ushiriki wao.

Nabaki pia nikiamini kuwa malumbano yaliyofikia katika kashfa na kulinganisha vifo vya pande zote ni ujinga wa hali ya juu kwasababu hata meli ingezama Kenya au Chad sisi kama wanadamu tunapaswa kuwa na nyoyo na utu wa kibinadamu.

Hata hivyo ni wazi kuwa ujinga wowote utaokano, ni zao la siasa za maji taka za maalimu Seif zinazolenga kuonyesha wananchi kuwa vifo ni zao la Tanganyika kwasababu meli ilitokea huko.

Maalimu hana facts nyingine isipokuwa meli ilitokea Dar es salaam. Busara za kawaida za mwanadamu katika kiwango cha uongozi zinaonyesha kuwa Maalimu hakushughulisha kichwa kuzitafuta, tahmini au kufikiri umbali mkubwa zaidi wa pua yake. Kilichomuongoza ni utashi wa kisiasa kwa faida binafsi na gharama za maisha ya wananchi.

Je, maalimu ameshapata majibu ya Dau lilozama Bandarini Zanzibar halafu spice Islander?
Iweje ufikiri wa maalim umtume kuwa meli inapata ajadi kwa sababu ilitokea Bara na si sababu yoyote ya kitaalamu ya kuthibitisha madai yake!
 
Watu wanatoka nje ya mada si kwa makusudi ni kwasababu ya kauli ya Maalim Seif.
Seif alipomsafisha waziri wa SMZ kwa kusukuma mzigo kwa Dar es Salaam ilikuwa ni 'irresponsible,ditasteful and lackadaisical approach'

Hakuna anayeweza kuileza kauli hiyo ililenga kumaanisha nini. Kama makamu wa Rais, Seif alipaswa kuwa na fact zote on the table before jumping to silly conclusion.

Wakati uchunguzi unaendelea tuna nadharia zifuatazo;
1. Kuna uwezekano abiria walikuwa wengi kupita kiasi na kusababisha meli isiweze kuhimili misuko suko ya hali ya hewa
2. Kuna uwezekano hali ya hewa ilikuwa nzuri na ilichafuka bila kutarajia
3. Upo uwezekano kuwa vyombo vinavyoshughulikia hali ya hewa pande zote havikuwa na mawasiliano mazuri.
4. Upo uwezekano kuwa chombo kilikuwa kibovu kutumika
5. Upo uwezekano kuwa kubadilisha muundo wa chombo kulisababisha meli kutokuwa na uhalisia wa meli bali karai.

Ukiangalia hayo yote ni ngumu kufikia conclusion katika mkutano wa kisiasa bila kuwa na ukweli wa kitaalamu.
Kujiuzulu kwa waziri ni jambo la kiungwana, hiyo hailalishi kuwepo na watuhumiwa eti kwasababu yeye amejiuzulu tu.

Tukianza kusema Dar es Salaam walikuwa na makosa, je spice Islander mbona hakuna aliyejiuzulu wala hatujasikia aliye beba lawama?

Kuhusu ukaguzi wa vyombo, nadhani Zanzibar maritime organization iliundwa mahususi kushughulikia usajili na usalama wa vyombo hivyo. Kama waliridhika na usalama wa chombo, iweje Dar es Salaam wahusishwe na ubovu au uzembe nje ya masuala ya muungano? SMZ ina wajibu wa kusimamia wakala au mashirika yake kufanya kazi kama inavyopaswa, mbona sisikii yoyote akitupa lawama kwa SMZ yenye dhamana ya usalama wa mali na raia wake.

Nabaki kuamini kuwa iwe imetokea ZNZ au Dar es salaam bado kuna upotevu wa maisha ya wanadamu ambayo ni muhimu sana. Uchunguzi wa kina ufanyike kubaini tatizo na wahusika wachukue dhamana kwa kadri ya ushiriki wao.

Nabaki pia nikiamini kuwa malumbano yaliyofikia katika kashfa na kulinganisha vifo vya pande zote ni ujinga wa hali ya juu kwasababu hata meli ingezama Kenya au Chad sisi kama wanadamu tunapaswa kuwa na nyoyo na utu wa kibinadamu.

Hata hivyo ni wazi kuwa ujinga wowote utaokano, ni zao la siasa za maji taka za maalimu Seif zinazolenga kuonyesha wananchi kuwa vifo ni zao la Tanganyika kwasababu meli ilitokea huko.

Maalimu hana facts nyingine isipokuwa meli ilitokea Dar es salaam. Busara za kawaida za mwanadamu katika kiwango cha uongozi zinaonyesha kuwa Maalimu hakushughulisha kichwa kuzitafuta, tahmini au kufikiri umbali mkubwa zaidi wa pua yake. Kilichomuongoza ni utashi wa kisiasa kwa faida binafsi na gharama za maisha ya wananchi.

Je, maalimu ameshapata majibu ya Dau lilozama Bandarini Zanzibar halafu spice Islander?
Iweje ufikiri wa maalim umtume kuwa meli inapata ajadi kwa sababu ilitokea Bara na si sababu yoyote ya kitaalamu ya kuthibitisha madai yake!

Wewe nawe unaleta masuala ya muungano katika usalama wa meli. Iwe kuna muungano au hakuna kila bandari ya mwisho ndio responsible na kuhakikisha usalama wa chombo umefatwa na kinastahili kufanya safari.

Pumba nyingi utafikiri unaongea cha maana. Unachokikataa nini sasa? Kama Spice Islander hawakuwajibishwa kwa kuwa ilitokea bandari ya Unguja basi na hapa kwetu ndio wasiwajibishwe? Evil way of thinking, if one does evil deed you'll be a better evil or is it the worst evil by doing the same?
 
Kwa hiyo walaumiwe USA waliotuuzia kifo? Hata iweje.

Bandari ya mwisho ilipotoka hizo meli ni lazima ifate kanuni na isingeziruhusu kuondoka kama zinajulikana zina matatizo. Hilo halipingiki.

Jee, walizikaguwa na wakakubali abiria wapakiwe kwenye vyombo vibovu bandari ya Dar Es Salaam?

Jee, hayo unayoyasema walikuwa wanayajuwa na wakaruhusu abiria wapakiwe bandari ya Dar Es Salaam?

Kama majibu ni ndio, basi wanamakosa kwa kuwaacha abiria wasiojuwa kitu kuhusu hizo meli kuzipanda. Na kama jibu hapana basi wanamakosa kwa kufanya uzembe.

Hii lawama hakwepeki, lazima vichwa viondoke bandarini Dar. na Hususan wenye dhamana ya usalama wa watumiaji hivi vyombo.

Mkuu unatetea mawazo ya mtu ambaye basically ni maiti wa kisiasa.
 




[/QUOTE] Mkuu Zomba, ahlana wahsalan sheikh. Ni uungwana kujadiliana bila chembe za kashfa au matusi. Kama mimi nishetani hewala, mwenyezi mungu ndiye mwenye hukumu yetu, sisi ni waja wake tu.

Nadhani ungeweza kujibu hoja au kutojibu bila kutukuna. Huo ndio uhuru wa mawazo sheikh.

Pamoja na jazba zetu hatutarajii kupata mshindi tunategemea kupata ushindani wa hoja.

Mi nshakusameheme kwasababu ndio ubinadamu nani mtimilifu miongoni mwetu?

Tukirejea katika hoja, hili la muungano sikulisema mimi kalisema Maalimu kwa fasihi. Pengine tunatofautiana uelewa na hilo si kosa.

Kama tutaendelea na ushindani wa Dar es salaam wanamakosa basi tutarudi kule kule kwa Dau kuzama bandarini, Spice Islander n.k.

Hatuwezi kuisadia jamii kwa maoni kama tutaishia 'Dar wapo responsible'. Werevu watasema kama ni hivyo nini kifanyike yasitokee yaliyotokea tena?

Kwa upungufu wangu wa kuelewa hebu nifafanulie Maalimu Seif alimaanisha nini kwa kauli hiyo?

Je, kauli yake ilikuwa ya kiufundi au kisiasa? na kama ni kiufundi upi huo na je, alieleza kwa kujitosheleza?

Kwanini kunazuka sintofahamu kama alieleweka na mwisho ni sahihi kwa maalimu kumsafisha kiongozi aliyeshindwa uwajibikaji na kusababisha vifo mara kadhaa.

Ni hayo tu alwatan wangu.
 
Mkuu Zomba, ahlana wahsalan sheikh. Ni uungwana kujadiliana bila chembe za kashfa au matusi. Kama mimi nishetani hewala, mwenyezi mungu ndiye mwenye hukmu yetu, sisi ni waja wake tu.

Nadhani ungeweza kujibu hoja au kutojibu bila kutukuna. Huo ndio uhuru wa mawazo sheikh.
Pamoja na jazba zetu hatutarajii kupata mshindi tunategemea kupata ushindani wa hoja.
Mi nshakusameheme kwasababu ndio ubinadamu nani mtimilifu miongoni mwetu?

Tukirejea katika hoja, hili la muungano sikulisema mimi kalisema Maalimu kwa fasihi. Pengine tunatofautiana uelewa na hilo si kosa.

Kama tutaendelea na ushindani wa Dar es salaam wanamakosa basi tutarudi kule kule kwa Dau kuzama bandarini, Spice Islander n.k. Hatuwezi kuisadia jamii kwa maoni kama tutaishia 'Dar wapo responsible'. Werevu watasema kama ni hivyo nini kifanyike yasitokee yaliyotokea tena?

Kwa upungufu wangu wa kuelewa hebu nifafanulie Maalimu Seif alimaanisha nini kwa kauli hiyo?
Je, kauli yake ilikuwa ya kifundi au kisiasa? na kama ni kiufundi upi huo na je alieleza kwa kujitosheleza?
Kwanini kunazuka sintofahamu kama alieleweka! na mwisho ni sahihi kwa maalimu kumsafisha kiongozi aliyeshindwa uwajibikaji na kusababisha vifo mara kadhaa!

Ni hayo tu alwatan wangu.

Hebu nioneshe hilo tusi nililotukana liko wapi? Kabla sijaendelea kukusoma zaidi.
 
Mkuu Zomba, ahlana wahsalan sheikh. Ni uungwana kujadiliana bila chembe za kashfa au matusi. Kama mimi nishetani hewala, mwenyezi mungu ndiye mwenye hukmu yetu, sisi ni waja wake tu.

Nadhani ungeweza kujibu hoja au kutojibu bila kutukuna. Huo ndio uhuru wa mawazo sheikh.
Pamoja na jazba zetu hatutarajii kupata mshindi tunategemea kupata ushindani wa hoja.
Mi nshakusameheme kwasababu ndio ubinadamu nani mtimilifu miongoni mwetu?

Tukirejea katika hoja, hili la muungano sikulisema mimi kalisema Maalimu kwa fasihi. Pengine tunatofautiana uelewa na hilo si kosa.

Kama tutaendelea na ushindani wa Dar es salaam wanamakosa basi tutarudi kule kule kwa Dau kuzama bandarini, Spice Islander n.k. Hatuwezi kuisadia jamii kwa maoni kama tutaishia 'Dar wapo responsible'. Werevu watasema kama ni hivyo nini kifanyike yasitokee yaliyotokea tena?

Kwa upungufu wangu wa kuelewa hebu nifafanulie Maalimu Seif alimaanisha nini kwa kauli hiyo?
Je, kauli yake ilikuwa ya kifundi au kisiasa? na kama ni kiufundi upi huo na je alieleza kwa kujitosheleza?
Kwanini kunazuka sintofahamu kama alieleweka! na mwisho ni sahihi kwa maalimu kumsafisha kiongozi aliyeshindwa uwajibikaji na kusababisha vifo mara kadhaa!

Ni hayo tu alwatan wangu.

Hatuongelei werevu hapa, tunaongelea sheria za IMO, zimebandikwa huko juu na link imewekwa. Zisome kabla hujakurupuka.
 
Hebu nioneshe hilo tusi nililotukana liko wapi? Kabla sijaendelea kukusoma zaidi.
Pumba nyingi utafikiri unaongea cha maana. Unachokikataa nini sasa? Kama Spice Islander hawakuwajibishwa kwa kuwa ilitokea bandari ya Unguja basi na hapa kwetu ndio wasiwajibishwe? Evil way of thinking
Hatuongelei werevu hapa, tunaongelea sheria za IMO, zimebandikwa huko juu na link imewekwa. Zisome kabla hujakurupuka.
Sheikh kama hayo si matusi niwiye radhi mimi nipo radhia mardhiyatan kwako.

Kichwa cha habari kama alivyoweka JokaKuu ni hili ''Maalim Seif adai waziri wa Zanzibar hana makosa, safari ya meli ilianzia Tanganyika'' hakuna neno IMO.

Basi nayaishie hapa maana mimi si fundi eneo hilo, naweza kujenga hoja au kubomoa hoja kwa bahati mbaya sana 'sijajaaliwa' eneo unalonipeleka.

Yaishe usije haribu swaumu kumi la mwisho maana naona subira imekutoka.

Ahsante Sheikh Zomba, tuwape watu nafasi ya kujadili vitu vyenye mantiki kwa heshma adabu na stara. Huo ndio uungwana Maalimu.
 
Sasa Pumba ndio tusi? ulitaka nikwambie umeandika mpunga? si ndio ingekuwa ohooo, mwao.

Na hiyo "evil way of thinking" uliyoi quote mbona umeikata ilipoishia alama ya coma, hujabandika sentensi kamili upate context? wacha kuchakachuwa. Matusi unayajuwa yanakuwaje.
 
Sheikh kama hayo si matusi niwiye radhi mimi nipo radhia mardhiyatan kwako.

Kichwa cha habari kama alivyoweka JokaKuu ni hili ''Maalim Seif adai waziri wa Zanzibar hana makosa, safari ya meli ilianzia Tanganyika'' hakuna neno IMO.

Basi nayaishie hapa maana mimi si fundi eneo hilo, naweza kujenga hoja au kubomoa hoja kwa bahati mbaya sana 'sijajaaliwa' eneo unalonipeleka.

Yaishe usije haribu swaumu kumi la mwisho maana naona subira imekutoka.

Ahsante Sheikh Zomba, tuwape watu nafasi ya kujadili vitu vyenye mantiki kwa heshma adabu na stara. Huo ndio uungwana Maalimu.

Soma post #7 utakuta kuhusu IMO na link imewekwa ukajisomee zaidi upate ufahamu wa somo hilo.
 
Mkuu
Kama tunazungumzia "kauli za kijinga za Seif"/"ujinga wa Seif" tuendelee. Mimi sikuona hilo katika michango niliyoisoma. Nimeona watu wanataka kusafishana na kutupiana lawama.

Mwisho unamalizia kuwa tutaendela kufa ,kwa sababu hata mkokoteni tutapanda. kama tumeshakubali kuwa " ndio majaaliwa" na tunabariki uzembe basi. Tuendelee kuzungumzia "kauli za kijinga" huenda ,tukapata werevu!

...................
Suala la Uzembe linawaandama viongozi wote ikiwa ni pamoja na JK, Bilal, Shein, Maalim Seif, Pinda, mawaziri, manaibu, makatibu na wabunge wote ambao wameruhusu hali hii iendelee kwa zaidi ya miaka 10.

They are all responsible kwa umaskini wa Mtanzania, na ndio maana tupo hapa JF kama wanaharakati wanaoyahitaji mabadiliko.

Isipokuwa hoja nzima ya mada hii ni kauli ya utatatinishi ya Maalim Seif, kujaribu kumpongeza kiongozi kwa ushujaa wake kujiuzuru wakati akitupia makosa yaliyofanyika kuwa ni ya bara.

Huu ni ujinga mkubwa sana kwa kiongozi kama yeye tena makamu wa rais kufanya siasa za majitaka kati ya bara na visiwani.

Kiongozi kama yeye na wadhifa wake alitakiwa ku quote report ya uchunguzi kutoa malalamishi yale au hata kutoa comment.
 
Back
Top Bottom