Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika Uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Wizi mtupu, bora kuangalia mkanda wa kung fu bora uta-enjoy kuliko hiki nlichokiona hapa

hivi hapa ni chit chat au, nimekosea jukwaa jamani
 
hivyo vifaa sasa, aisee kijesh tupo imara sana, mmeliona hilo daraja la kubebwa?
 
magari yana kutu. zile ndege zinakaribia kupita mda huu. wale wa dar angalieni lile dege kubwa nililowambieni. mia
 
Nashindwa kuelewa hizi sherehe za miaka 50 ya uhuru ni za Tanzania au Tanganyika?Kwa nini inapeperushwa bendera ya Tanzania ambayo iliudwa mwaka 1964 badala ya bendera ya Tanganyika ambayo ndo iliyozaliwa mwaka 1961
Hata kilimanjaro stars walilaaniwa wasifike mbali kwa kuvaa jezi za blue ambazo rangi yake haikuwahi kuwemo kwenye bendera ya Tanganyika au tanzania bara kama wanavyotaka!!!! Kwa kuvaa jezi zenye rangi ya Blue ambayo ni alama ya Zanzibar, waliisaliti nchi yao ya Tanganyika nao wakalaaniwa kutokufika kokote!!
 
kama alshaabab watakweda leo uwanja wa taifa wote watakufa zana za kutosha zipo pale
 
Kusema la ukweli jeshi letu linaonekana kuwa very 'manual-labor'. Wanatumia nguvu nyingi sana (physical strengh) technology zero. Miaka 50 ya uhuru tunajivunia kurusha ngumi na mateke? Jamani haya mbona na mazoezi ya viungo gym?

Pia msafara wa magari ya kigeni ni jambo la kujivynia? Hakuna kifaa chochote cha kijeshi kimevumbuliwa/kutengenezwa na jeshi letu.
 
Pamoja na Kujichekesha chekesha Mweshimiwa El nimemsikitikia kwa jitihada zake za kumpa mkono Jk hakuweza kufanikia kwani Jk alimchunia Live Kitu TBC tizameni TBC marudio hili NAdhani ni Bifu lishaanza tena Bila kificho. Tusubiri tuone Picha litakwendaje.

Na Jeshi letu lishageuka la Kichina na Kung fu za kumwaga huku mtangazaji wa TBC akidanganya eti hizi Mbinu zilitumika kumng'oa Adui Iddi Amini oi

Duduwasha

avatar30551_3.gif
 
1. Kuazimisha uhuru wa nchi ambayo haijawahi kudai uhuru katika uso wa sayari yetu ya dunia-Tanzania bara

2. Kuonekana ombaomba wa kutupwa kwa wale tuliowaita wakoloni miaka hamsini iliyopita

3.Watawala kujigeuza wakoloni weusi na wanyonyaji wakubwa wa raia na nchi kuonekana ombaomba zaidi ya ilivyokuwa miaka hamsini kabla ya uhuru

4. Kugawa rasilimali za nchi kwa wale tuliowaita wakoloni miaka hamsini iliyopita kwa kasi ya ajabu huku tukiwapigia magoti kwenye kusaidia budget ya serikali huku uchumi wa nchi ukididimia zaidi ya miaka hamsini ya uhuru

5. Kuzidiwa na wale tuliowaita wakoloni kwa kuweza kuzitunza rasilimali zetu miaka hamsini iliyopita huku viongozi wetu wakishindwa kuzitumia kwa maslahi ya taifa na vizazi vijavyo na kuanza kuziuza kama ubuyu ikiwa ni pamoja na kutorosha wanyama wakiwa hai na kusafirisha makontainer ya udongo uliojaa dhahabu kwenda kwa wale tuliowaita wakoloni miaka hamsini iliyopita.

6. Kuwa na kiongozi shupavu na jasiri, asiyekuwa na aibu wa kuzunguka dunia nzima akiombaomba na kushindwa kujua tatizo la umasikini wa watu wake katika taifa lenye kila aina ya rasilimali.

7. Kuwa na rais aliyeambiwa na Obama kuwa matatizo ya Afrika hayawezi kumalizwa na misaada badala yake ni kuangalia namna ya kuweza kusimamia vizuri rasilimali tulizonazo kwa maslahi ya taifa na watu wake na kudhibiti ufisadi. Baada ya siku chache baadaye kiongozi huyo akapokea vyandarua in exchange of uranium ya Namtumbo!

8
9
10
 
hivi vifaru ni vya vita ya pili ya dunia. makelele tu. ndege zipo tatu hadija haruna ibrahim ndo anaongoza ndege ya tatu. mia
 
kwani hivi vifaru ndo mafanikio ya kujitawala au?

Kuweni makini hapo, havikawii kulipuka hivyo.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Tanganyika nini bwana,ilikuwa Germany East Africa,Burundi na Rwanda zilikuwamo ndani.Ukirudi nyuma katika historia sijui ilikuwa inaitwaje?
 
Back
Top Bottom