ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
ulinzi umeimalishwa.wanashirikiana, polisi,mgambo. traffic,usalama wa taifa na jwtz. Mia
kujilinda dhidi ya alshabiib nini..
ulinzi umeimalishwa.wanashirikiana, polisi,mgambo. traffic,usalama wa taifa na jwtz. Mia
hiyo sehemu haina jina..au ni dhambi kuitamka..
ulinzi umeimalishwa.wanashirikiana, polisi,mgambo. traffic,usalama wa taifa na jwtz. Mia
Huku kwetu hatujui hata tunataka nini maana ukiwauliza wanaodai Jina Tanganyika mkilipata litatusaidia kujenga barabara, kuondoa umaskini, kuondoa ufisadi, nk au vipi hawana majibu! Wao wanachotaka ni Jina "Tanganyika" tu basi!Hivi nchi kama Marekani wao inakuwaje? Tarehe rasmi ya uhuru wao ni 04th July 1776 na ni states (ukitaka ita nchi ila sio dola) 13 tu zilipata uhuru wakati huo. States (nchi) nyingine zilipata uhuru wao baadaye kama ilivyo Tanganyika na Zanzibar (Unguja na Pemba) lakini hawana chokochoko kama za kwetu. Tunaweza jifunza nini hapa?
Happy Birthday Tanganyika.
Tanganyika ndiyo imefikisha miaka hamsini leo. Tanzania bado haijafikisha miaka 50!Kumbe huwa mnafahamu ukweli ila kujitoa akili tu,......
kwanini sasa hawajaingia .mia