Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika Uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Kuna mwanamgambo kikos cha wanamgambo, anazomea ardhi, cjui hakula au mazoez yalikuwa magumu. Mgambo anatapika kwenywe gwaride duu! Ila nimemsifu anazomea ardhi huku amesimama kikamavu, mpaka wamekuja kumtoa dakt wa jesh
 
....Mkuu nasikia kuna uwanja umejazwa na vijana wa halaiki tu...ningekuwa na mtoto nisingemruhusu kwenda kupoteza nguvu zake hapo uwanjani..pumbavu!!
Halaiki ya watoto 2,400, kati yao, watoto 500 wametokea zanzibar.

UHUNI wa ccm na serikali yake unasheherekewa leo.
 
uwanja umejaa. sisi tuliochelewa kufika na hatuna card tumeambiwa twende kuangalizia kwenye tv uwanja mpya. cha ajabu wamepandisha bendera ya JAMUHURI YA MUUNGANO BADALA YA BENDELA YA TANGANYIKA. mia
Tanganyika ni koloni la Zanzibar.
poleni wadanganyika.
 
Naona Dar es Salaam MVUA inajiaanda kunyesha ili kufanikisha "sherehe" ndani ya uwanja wa Uhuru!
 
Uhuru wa Tanganyika lakini inapepea bendera ya Tanzania, inakuwaje hapa?
 
Nashindwa kuelewa hizi sherehe za miaka 50 ya uhuru ni za Tanzania au Tanganyika?Kwa nini inapeperushwa bendera ya Tanzania ambayo iliudwa mwaka 1964 badala ya bendera ya Tanganyika ambayo ndo iliyozaliwa mwaka 1961
 
baada ya kupigwa mizingi kwa sasa Jk anakagua gwaride liliandaliwa kwa miaka 50 ya kumbukumbu ya uhuru uwanja wa Taifa
 
Jamani ivi ni kawaida rais kukagua gwaride akiwa na bodyguards pembeni tena ambao hawajavaa kijeshi??
 
gwaride maalum la kijeshi pamoja na zana za kijeshi vikiwemo vifaru, ndege za jeshi vitaanza kupita kutoa heshima kwa amiri jeshi mkuu
 
Back
Top Bottom