Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika Uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

anga la dar linalindima kwa kishindo cha ndege za jeshi haaaaa inatisha utadhani tuko vitani
 
wakuu hizi zana za kivita ni za kizamani sana. nilitegemea nione magari kama yale ya gaddaf. ni ya kizamani sana. Mia

Acha kabisa wewe,hvyo vifaru ni vya kisasa kabisa,hata uwe na jesh gani,huwezi kushnda vita bila kuwa magari ya kivita yanayoweza kupenetrate mahali kokote!big up JWTZ!i'm so excited.
 
ndege za anga zimejipanga angani kama gwaride maalum la jeshi na zinakwenda kwa kasi ya ajabu
 
Tumethubu, tumeweza, tunasonga mbele kwenye upuuzi wa kasi ziaidi, ari zaidi na nguvu zaidi

kwani hivi vifaru ndo mafanikio ya kujitawala au?

Kuweni makini hapo, havikawii kulipuka hivyo.
 
jeshi leo limeacha kuwaongopea watanzania limeamua kutuonyesha bila mchezo hadi rada ya uchunguzi wa kijeshi iko uwanjani leo
 
Kusema la ukweli jeshi letu linaonekana kuwa very 'manual-labor'. Wanatumia nguvu nyingi sana (physical strengh) technology zero. Miaka 50 ya uhuru tunajivunia kurusha ngumi na mateke? Jamani haya mbona na mazoezi ya viungo gym?

Pia msafara wa magari ya kigeni ni jambo la kujivynia? Hakuna kifaa chochote cha kijeshi kimevumbuliwa/kutengenezwa na jeshi letu.

ndio tunachoweza kifanya mkuu, mateke na kupasua matofali ya matope kwa ngumi.
Jeshi la kikwere.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Pamoja na Kujichekesha chekesha Mweshimiwa El nimemsikitikia kwa jitihada zake za kumpa mkono Jk hakuweza kufanikia kwani Jk alimchunia Live Kitu TBC tizameni TBC marudio hili NAdhani ni Bifu lishaanza tena Bila kificho. Tusubiri tuone Picha litakwendaje.

Na Jeshi letu lishageuka la Kichina na Kung fu za kumwaga huku mtangazaji wa TBC akidanganya eti hizi Mbinu zilitumika kumng'oa Adui Iddi Amini oi
acha kuwadanganya watu....kampa mkono na wameshake hands vizuri tu...
 
angalia angani ndege imepiga sarakasi hizi ni ndege za kisasa kwa ajili ya kukwepa makombora
 
ndio tunachoweza kifanya mkuu, mateke na kupasua matofali ya matope kwa ngumi.
Jeshi la kikwere.


Nadhani mabalozi wanaowakilisha nchi za wenzetu watavunjika mbavu wakiona vifaru vyetu vya kichina-china.
 
0010.gif
0020.gif
0001.gif
0014.gif
0007.gif
0001.gif
0014.gif
0025.gif
0009.gif
0011.gif
0001.gif
0005.gif

0027.gif


bendera siyo yenyewe, bendera ni ya Tanzania, tuwekee ya tanganyika
 
Jamani si kweli mbona mkono wa EL aliupokea?
Also,let's appreciate what we have. Hv kununua silaha nje ya nchi ni vibaya?
 
Back
Top Bottom