MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Jamani ivi ni kawaida rais kukagua gwaride akiwa na bodyguards pembeni tena ambao hawajavaa kijeshi??[/QUOTE
sio kawaida lakini pia ni kawaida yule jamaa kibonge ambaye hajavaa kijeshi nimemuona anatoa ulinzi tofauti na jukumu lake pale ni lingine