Ndugu wana JF
Nimepokea salam zenu za heri kabisa .Jamani nimepona na Mungu ni mwema sana .Niko hai .Najiandaa kurudi Kagera kweney uchaguzi siku chache zijazo .Nimeona makubwa na kweli Mungu mwacheni aitwe Mungu .Ninawashukuru sana sana wana JF .Nina endelea vyema ila nilishikwa na tetemeko kubwa sana moyoni na mwili mzima .