muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
hakuna forgery yoyote kila kitu ni sahihi, shida ya watanzania ni roho mbaya maana majibu mlioyataka mmepata zaidi ya hapo mnatakanini????, Rais wa Tanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete(JK) na first Lady wetu ni Salma Kikwete nakumbusha ifikapo Oktoba 31 2010 chukua shahada yako angalia jina Jakaya weka ndiyo huu ndiyo ushindi ambao unaleta heshima kwa mtanzania acheni porojo!!
huyu hata baba yake akikaa uchi,atamshangilia akisema suti yako baba imekupendeza.