Ushauri: Kwa tuhuma za uhaini, Mamlaka zimvue Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,003
20,681
Kwa kuwa mamlaka zina ushahidi kwamba Dk. Slaa amefanya uhaini, ili kulinda hadhi ya cheo na utambulisho wa "balozi" nashauri Dk. Slaa avuliwe hadhi hiyo ambayo Ina heshma sana katika nchi hii.

Akivuliwa hadhi hiyo, aendelee kuchangamana na akina Mdude kwa kuwa ndio level ya akili zake kwa Sasa.

Hadhi ya ubalozi haiwezi kupewa watu wa hovyo.

NB: Hivi Kitima yupo? Naona mawakala wake wamenasa kwenye nyavu
 
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.

Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes.

ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.

SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1

Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:

My take.
Muda si mrefu tutasikia Tanzania yashindwa kesi na DP world yatakiwa kulipa trillioni 15.

Njia mpya iliyobuniwa na wajibu ndani ya serikali kuchota kodi za walala hoi, unasaini mkataba wa kijinga ambao ni kichaa tu anayeweza kuuvumilia alafu ukiulizwa unasema tumeshindwa kesi tulipeni tu.
 
F3jgOTWXUAAbCBJ.jpeg.jpg
Kwa huyu Dokta Ndumilakuwili? Naunga mkono hoja
 
Dr Slaa kapoteza hadhi yake na utu wake kwa sababu ya tumbo lake.

Aliona akikosoa kistaarabu kama kina kardinal Pengo, mzee Warioba na Tibaijuka hatolipwa hela nyingi.
Wakosoaji wanalipwa na nani??
 
Vyeo vyenye hasara kuvuliwa ni cheo cha kuwa Rais Mstaafu,. Kwa sababu utashtakiwa kwa makosa uliofanya ukiwa madarakani, na vyeo vile vya kuendelea kula 80% ya incumbent na benefits kibao hata baada ya kustaafu.Cheo kingine chochote hakina thamani baada ya kuacha majukumu. Hakina maana.
Hata judges wanakula mshahara wa 80% baada ya kustaafu.
 
Back
Top Bottom