Kwa siku mbili nimesoma thread mbili za Nova Kambota.
Inaonekana ni kijana ambaye anapenda kuandika na kujihusisha na siasa huku yeye akijiita mwanaharakati.Ila kwa maoni yangu mimi naona kama ni kibaraka anayetumiwa na chama fulani.
Sababu za mimi kusema hivi nikuwa badala kuongelea huduma gani serikali imeshindwa kupatia wananchi na kushahauri au kuishinikiza kama anavyojiita "mwanaharakati" yeye hulaumu walio vyama vya upinzani wasio na dola.Na hu attack ktk mambo ambayo yeye huona ya msingi lakini si ya msingi ktk kum judge mtu,hutumia irrelevant logic kufikia hitimisho lake,hana fact ku support hitimisho la habari zake.
Mfano:Nova anapinga kazi kuu ya upizani kukosoa serikali. The role of an opposition party is to oppose the government by criticizing government policies, suggesting alternatives and keeping the public informed about issues relating to government administration.Yeye angependa upinzani ufanye kazi ya kusifia serikali ,kushauri (sio kitu kibaya ni kazi yao) lakini uwezi sema upinzani uache kufanya unakuwa unaua maan nzima ya upinzani kama jina linavyo jitasfiri.
Nova katoa hoja kuwa Slaa hana msimamo kwa kuwa aliacha upadri kitu ambacho ni kosa kwa mujibu wa uelewa wake.Lakini sidhani kama alikuwa aware kuwa Slaa alifuata taratibu zote za Vatican na akaruhusiwa kufanya alichofanya.Kijan Nova Akiulizwa unasema ni kosa kwa mujibu wa nini/nani hajatoa majibu mpaka sasa,maana hata kwenye biblia Paul anawema angependa tuwe waseja /Bachelor kama yeye kwa watakao weza ,ila kuliko kuwaka tamaa ni bora mtu akaoa .Kijana kashindwa kutetea tuhuma anazotoa.
Najiuliza who is Nova ?Kajitambulisha kuwa kasoma seminari kisha Irboru ,nikasema shule hizi siku hizi ndio zinatoa product hizi .
Ila ktk blog yake hakuandika sana kuhusu yeye bali kuhusu mama yake anayeumwa kisukari kaandika kama mtu anayetafuta sympathy fulani,rahisi kwa senti za uchaguzi za cha cha familia ya Makamba na Mkwere kumika.
Inakuwaje ww unajiita mwana harakati huoni lolote baya kwa chama tawala ambacho kiko responsible with all the mess.Unaona tatizo liko kwa upinzani wewe ni mwana harakati au kibaraka wa Makamba?
Kama mwanaharakati wa kweli tumia bakora hiyo hiyo kwa wote.
Who is real Nova? ladies and gentlemen your 50cents plse
Inaonekana ni kijana ambaye anapenda kuandika na kujihusisha na siasa huku yeye akijiita mwanaharakati.Ila kwa maoni yangu mimi naona kama ni kibaraka anayetumiwa na chama fulani.
Sababu za mimi kusema hivi nikuwa badala kuongelea huduma gani serikali imeshindwa kupatia wananchi na kushahauri au kuishinikiza kama anavyojiita "mwanaharakati" yeye hulaumu walio vyama vya upinzani wasio na dola.Na hu attack ktk mambo ambayo yeye huona ya msingi lakini si ya msingi ktk kum judge mtu,hutumia irrelevant logic kufikia hitimisho lake,hana fact ku support hitimisho la habari zake.
Mfano:Nova anapinga kazi kuu ya upizani kukosoa serikali. The role of an opposition party is to oppose the government by criticizing government policies, suggesting alternatives and keeping the public informed about issues relating to government administration.Yeye angependa upinzani ufanye kazi ya kusifia serikali ,kushauri (sio kitu kibaya ni kazi yao) lakini uwezi sema upinzani uache kufanya unakuwa unaua maan nzima ya upinzani kama jina linavyo jitasfiri.
Nova katoa hoja kuwa Slaa hana msimamo kwa kuwa aliacha upadri kitu ambacho ni kosa kwa mujibu wa uelewa wake.Lakini sidhani kama alikuwa aware kuwa Slaa alifuata taratibu zote za Vatican na akaruhusiwa kufanya alichofanya.Kijan Nova Akiulizwa unasema ni kosa kwa mujibu wa nini/nani hajatoa majibu mpaka sasa,maana hata kwenye biblia Paul anawema angependa tuwe waseja /Bachelor kama yeye kwa watakao weza ,ila kuliko kuwaka tamaa ni bora mtu akaoa .Kijana kashindwa kutetea tuhuma anazotoa.
Najiuliza who is Nova ?Kajitambulisha kuwa kasoma seminari kisha Irboru ,nikasema shule hizi siku hizi ndio zinatoa product hizi .
Ila ktk blog yake hakuandika sana kuhusu yeye bali kuhusu mama yake anayeumwa kisukari kaandika kama mtu anayetafuta sympathy fulani,rahisi kwa senti za uchaguzi za cha cha familia ya Makamba na Mkwere kumika.
Inakuwaje ww unajiita mwana harakati huoni lolote baya kwa chama tawala ambacho kiko responsible with all the mess.Unaona tatizo liko kwa upinzani wewe ni mwana harakati au kibaraka wa Makamba?
Kama mwanaharakati wa kweli tumia bakora hiyo hiyo kwa wote.
Who is real Nova? ladies and gentlemen your 50cents plse