Lowassa: Mkapa alikuza uchumi, JK punguza matumizi

Kweli Nape anaangalia hiki kipindi na kumuona lowasa anatamba?
Spidi ya Lowasa kwa siku za karibuni imekuwa kubwa sana kutaka kuwaaminisha waTZ anastahili kuiongoza Tanzania kuanzia 2015 hadi 2025. Anajidai kuibua kero za waTZ lakini namwona amebaki peke yake ktk hizi kampeni kama nyati aliyejeruhiwa anavyojitenga na kundi na kuishi peke yake porini huku akivizia adui ammalize.
 
Mitangazaji ya bongo bana?unawezaje kuzungumzia sungura mdogo leo hii wakati watu wameficha mabillioni nje ya nchi????unawezaje kukaa na fisadi dk45 usimuulize kuhusu tuhuma hizo?mmeshikilia maamuzi maamuzi yanasaidia nini sasa? Au yalisaidia nini,lini kwa lipi?hata anaposema wasigawe vitalu vyote vya gesi nahisi bado ana ndoto za kuwa rais wa nchi hii ili abakiziwe yeye aje auze angalau....sioni chembe ya uzalendo ndani ya mtu huyu. Amebaki na chorus ya maamuzi tu hana nyingine..my 45min just wasted, I did not know afadhali nineteens
 
huyu mtangazaji wa hiki kipindi uwezo ni mdogo sana wa kuuliza maswali. Anauliza yale ya kumfurahisha lowassa tu, sijui ameishaweka bahasha mfukoni!? Nahisi maswali aliishayaandaa laigwanan jamaa anatimiza wajibu tu
akina lowassa huwez kuwakuta kwa jenerali
 
I am berg to differ.

Huyu Jamaa sio muongeaji kabisa, yaani kifupi hawezi kuongea.

Watu wa aina hii hua nawatizama kama ni watendaji wazuri kazini kuliko kupiga siasa. Ni aina ya watu ambao ukiwaita kwenye interview ya kazi watafeli tu, kwani pengine hata naturally sio waongeaji!!!

Ila ukiwagundua ukawapa nafasi kazini utashangaa kwa uchapaji wao wa kazi.

Sina mapenzi na chama anachotoka, wala sizungumzi siasa, bali analysis yangu tu juu ya nilivyomsoma "deeply" leo wakati akihojiwa
 
mtangazaji kaandaa maswali kampelekea na majibu yake.

Hata uso unaonesha kabisa anauliza alichoambiwa.

Kesho nipashe ukurasa wa mbele 'Lowasa aunguruma . . .'
bora wangesema amewika.
 
Ndio uoga wa waandishi wetu wanapenda kubembeleza sana wana siasa! Wakati mtu kama lowasa ili abanwe kwa maswali hadi ashindwe kupumua!

Mitangazaji ya bongo bana?unawezaje kuzungumzia sungura mdogo leo hii wakati watu wameficha mabillioni nje ya nchi????unawezaje kukaa na fisadi dk45 usimuulize kuhusu tuhuma hizo?mmeshikilia maamuzi maamuzi yanasaidia nini sasa? Au yalisaidia nini,lini kwa lipi?hata anaposema wasigawe vitalu vyote vya gesi nahisi bado ana ndoto za kuwa rais wa nchi hii ili abakiziwe yeye aje auze angalau....sioni chembe ya uzalendo ndani ya mtu huyu. Amebaki na chorus ya maamuzi tu hana nyingine..my 45min just wasted, I did not know afadhali nineteens
 
Bahati mbaya nimekikosa kipindi hicho muhimu. Bila shaka, utanijuza angalau kwa ufupi maudhui ya jumla ya maelezo ya Lowassa. Nimeambiwa kwamba ameanza kwa kuponda utendaji kazi wa wizara ya nje na uhusiano wa mimataifa. Kwa harakaharaka naanza kuamini maneno ya watu kwamba Membe na Lowassa ni kambi mbili uchaguzi 2015 zinazokinzana waziwazi.

Mkuu hicho kilichokufanya ukakosa nicha muhimu kuliko ungepoteza muda wako.Inshort hakuna cha msingi alichoongea zaidi ya kuunganisha story kadri siku zinavyokwenda anapoteza uwezo wake wa kujenga hoja,kuchambua mambo hata uoanishaji wake wa mambo umekuwa shida.Nahisi anapania sana kabla ya kwenda mbele ya media kuongea na umma. Washauri wake wanakazi ngumu sana coz yeye mwenyewe awezi kujiuza anazungumzia power tila ambazo zimeprove failure,anasifia matrekta ya Suma ambayo nayo yanakasoro nyingi tu,anazungumzia kuwapa wawekezaji mashamba makubwa kuwa ni sera ya ccm,
 
Shark, kutojua kuongea na kutojua nini cha kuongea ni tofauti.

Angekuwa na la maana tungemwelewa hata kama hajui kuongea kabisa.

Huyu anajua sana kuongea ila hana point hata moja ndio maana tunakosa cha kumsikiliza.

Na kuna msemo 'if you can't explain it well, then you dont know it'
 
Last edited by a moderator:
hapo mtakuwa mnambebesha mzigo usiokuwa wa kwake maana hakuna jambo la richmond alilolifanya ambalo rais alikua halifahamu. :car:

Kusema hivyo huku akijua kuwa siyo kweli, ni kutapatapa tu na kwa kujua hilo ndo maana JK hakumjibu kwani kumjibu ni sawa na kumkimbiza kichaa aliyekuchukulia nguo zako
 
Bahati mbaya nimekikosa kipindi hicho muhimu. Bila shaka, utanijuza angalau kwa ufupi maudhui ya jumla ya maelezo ya Lowassa. Nimeambiwa kwamba ameanza kwa kuponda utendaji kazi wa wizara ya nje na uhusiano wa mimataifa. Kwa harakaharaka naanza kuamini maneno ya watu kwamba Membe na Lowassa ni kambi mbili uchaguzi 2015 zinazokinzana waziwazi.
Pole for missing sehemu ya mwanzo, nunua nipashe la kesho, wataripoti kila kitu.
 
Uoga wa waandishi wetu huo!
Yan mtu kama lowasa hakutakiwa kutamba kwenye kipindi hicho kabisa bali alitakiwa ajute kuja kwa alitakiwa kupewa maswali yakutosha!

Hapo kweli kawika zaidi ya jogoo
yan mtu kama huyo bado ana tamba!
mtangazaji ni zaidi ya mb.wa akiona chatu, kaandaa maswali kampelekea na majinu yake.

Hata uso unaonesha kabisa anauliza alichoambia.

Kesho nipashe ukurasa wa mbele 'Lowasa aunguruma . . .'
bora wangesema amewika.
 
Uoga wa waandishi wetu huo!
Yan mtu kama lowasa hakutakiwa kutamba kwenye kipindi hicho kabisa bali alitakiwa ajute kuja kwa alitakiwa kupewa maswali yakutosha!

Hapo kweli kawika zaidi ya jogoo
yan mtu kama huyo bado ana tamba!

Kwa mkakati wa ukanda uliopo, sijashangaa kilichotokea na hasa ukizingatia mwenendo wa ipp media kwenye mkakati huo.
 
Ameongea vizuri ameonyesha msimamo kuwa ziwa nyasa tuna share, kiongoz anatakiwa alinde mipaka ya nchi, the way forward wakulima waruhusiwe kuuza mazao popote penye maslahi, tunahitaji kilimo cha mashamba makubwa of course hili linaeleweka.
Mkulima awezeshwe kwa kuwa na bank ya wakulimwa wakopeshwe pembejeo, tuwe na sera ya madini, na mengine mengi mazuri siyo kila kitu kipingwe!
 
Swali: LOWASSA Ametoka wapi ITV wakti yeye na Mengi ni maadui? Nadhani keshamweka sawa mr.PUA
 
kwa hapo alialikwa kama mbunge wa monduli, pm aliefukuzwa,mwenyekiti kamati ya ulinzi nausalama au mwanasiasa wa kawaida.?? Zaidi alialikwa kuzungumzia nini.?
 
Back
Top Bottom