Lowassa: Mkapa alikuza uchumi, JK punguza matumizi

Kipindi ni rekoded nikiuliza swali hapa atalijibuje?

Haya swali,anatoa maoni gani kufiatia taarifa ya watz walioficha fedha uswis?
 
Tatizo litakuwa kwa Semunyu maana EL atamubuliza na siku zote jamaa huwa na atekwa mawazo na wageni wake studio.

Muda mwingine anakoswa hata swali la maana ama anabaki kurudia rudia yaliyosemwa na mgeni wake;
 
mi naomba ndugu zangu, niko mbali.. mtakao angalia, mtuelezee ni nini ataongelea then ndo nitatoa maoni
 
Hebu tizameni ITV sasa Lowasa anahojiwa.

Kasema afya yake iko safi kabisa ila watu wanatunga habari, anachoumwa yeye ni jicho.

Pia kaongelea kuhusu kauli ya kutangaza vita, kakana kasema wamamnukuu si sawa.

Sasa anaongelea mgogoro na Malawi kwa ujumla.
 
awashangaa kwa kupotosha ukweli hakana si kweli alitangaza vita bali kama mwenyekiti wa kamati aliunga mkono mapendekezo ya selikari
 
lowassa anapapatika tu.naona lile tamko lake la vita linamuandama na limemkalia vibaya.
Jitihada za kujisafisha naona zimegonga mwamba.
Mbaya zaidi hali ya afya bado inatia shaka.
 
Anaunga mkono kauli ya serikali kuhusu suala la Malawi na kwamba magazeti yalipotosha kwamba yeye ametoa kauli kama amiri jeshi mkuu

Amezungumzia pia afya yake na kusema yuko fiti kwa hali yeyote ile na kwamba ni upotoshaji kusema ana stroke...kwamba hizo ni siasa za watu na malengo yao
 
Back
Top Bottom