Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tizameni ITV sasa Lowasa anahojiwa.
Kasema afya yake iko safi kabisa ila watu wanatunga habari, anachoumwa yeye ni jicho.
Pia kaongelea kuhusu kauli ya kutangaza vita, kakana kasema wamamnukuu si sawa.
Sasa anaongelea mgogoro na Malawi kwa ujumla.
Zile pesa alizopata kupitia epa ameshazirudisha? Tunataka azirudishe awe safi tumtayarishe kwa 2015
hizo ndizo tabia za wanasiasa wote kuwaatumia waandishiamezungumzia pia kwamba yapo magazeti yanatumiwa na baadhi ya watu wenye malengo yao kuwazushia wengine
Hebu tizameni ITV sasa Lowasa anahojiwa.
Kasema afya yake iko safi kabisa ila watu wanatunga habari, anachoumwa yeye ni jicho.
Pia kaongelea kuhusu kauli ya kutangaza vita, kakana kasema wamamnukuu si sawa.
Sasa anaongelea mgogoro na Malawi kwa ujumla.
Waziri Mkuu aliyejiuzulu na Mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje, ulinzi na usalama Mh. Edward Lowassa atazungumzia mgogoro wa Malawi kuhusu ziwa nyasa na pia ugawaji vitalu migodini Katika Kipindi cha SAA 3.00: DAKIKA 45 Kupitia Runinga ya ITV.
Najiuliza maswali alistaili kuongelea haya? Mbona Bungeni huwa mkimya sana? Je Jimbo lake halina matatizo? Ungependa aulizwe maswali gani?
anakomaa na MAMBO YA NJE ILI AMGALAGAZE MAPEMA HON MEMBE SI UNAJUA NA NI MSHINDANI WAKEHuyu Mtangazaji anakomaa na Ubalozi wakati kuna mambo muhimu ya kumuuliza
Ndio anasafisha njia wewe unafikiri Rais JK ameenda kwenye Mgogoro wa Malawi hajaongelea hilo yeye anaongelea ....hapa ndio ujue Tanzania haina mwenyewe kila mtu anaongea yake.Mbona anaongea kama yeye ni mkuu sana hapa nchini??
Anaongelea nyumba za serikali kwenye balozi mbali mbali.
Huko washngton wanataka USD 1mil ili wakarabati waweze kupangisha.
Wanataka NSSF iwe inakopesha serikali kujenga nyumba nje ya nchi.
Duh!