Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,280
- 1,763
Mbukwenyi, mwene mun'tu yono yakulonga ukweli kumbe yakuchemwa fisadi? Leche zizo muwaha. LOWASSA kiboko yenyu. Mutuka muwaha wuwo.
Akili chongo
Mbukwenyi, mwene mun'tu yono yakulonga ukweli kumbe yakuchemwa fisadi? Leche zizo muwaha. LOWASSA kiboko yenyu. Mutuka muwaha wuwo.
Ahåaa kumbeee! lyo itatizo lyetu wanhu wa kukuaya,Ifikie wakati tuseme ukweli juu ya watendaji wetu ina maana agwe Jumakidogo uovu na uwizi wa Lowassa hauujuo au ni kuweka pamba masikioni huku masikio yako yakitaka yazibuliwe? chibadiliche jamani we need changes and our changes are through spreading the good things of CDM,kaazi kweli kweli
Muwaha leche longa nhavivyo. Mbona ushahidi musiina. Yuyo munhu wa mulungu mbeka. Muzehe wetu wa kanisa. Nha mumlekaje wazelelo.
Sitokaa hata cku moja nimkubali EL kwa kua matatizo menji gono chinanago EL is the causative,kwahyo ArabasintokuungaMuwaha leche longa nhavivyo. Mbona ushahidi musiina. Yuyo munhu wa mulungu mbeka. Muzehe wetu wa kanisa. Nha mumlekaje wazelelo.
Siku zote ukweli ni mchungu ila itabidi uumeze hivyo hivyo!Labda Ferrari ya kichina kama ile mvua aliyoapa kutununulia Thailand kama Jakaya asingetumia busara kumuacha apate ile ajali yake ya kujitakia ya kisiasa
Ukweli utabaki pale pale, Lowassa ndiye rais ajaye wa JMT 2015. Wewe baki na chuki zako binafsi hivyo hivyo.Sitokaa hata cku moja nimkubali EL kwa kua matatizo menji gono chinanago EL is the causative,kwahyo Arabasintokuunga
mkono
hili
Ukweli utabaki pale pale, Lowassa ndiye rais ajaye wa JMT 2015. Wewe baki na chuki zako binafsi hivyo hivyo.
Moderator where r u??? Inaruhusiwa hii. Usishangae kila mtu akaanzisha thread ya kikwao hapa. Pls act
Hawa mashorabaro wa ccm walivyo weupe kichwani wanahutubia watu huku wakiwa wamebabana na ipad zao ili kusoma notes! Zinaleta picha gani hizo ipad? Au wanataka watu wa Arumeru waone ni jinsi gani kodi yao inatumuka kununua ipad (anasa) kwa vigogo huku watu hawana maji, madawati, au hata dawa kwenye zahati?
Nakubali, EL ndiye aliye baki peke yake mwenye sifa ya kugombea uraisi kwa tiketi ya CCM. Anabeba chapa ya CCM.
Ukweli utabaki pale pale, Lowassa ndiye rais ajaye wa JMT 2015. Wewe baki na chuki zako binafsi hivyo hivyo.
Cooked story??? Hata hivyo ni Nape anacheza ngoma ya watoto ambayo daima huwa haikeshi. Hon. Lowassa for presidency 2015.Habari zilizoenea huko katika Uwanja wa Mapambano wa Arumeru Mashariki ni kwamba Katibu wa Ueneze na Itikadi bwana Nape Moses Nnauye Alifurahia Pale Makundi ya Wananchi yalipomzomea Waziri Mkuu Aliyejiuzulu bwana Edward Lowasa.
Nape Ambaye alishindwa Kuzuia Furaha yake ( Hasa alipokuwa na Wafuasi wake Watiifu) aliwaambia kwamba Alijisikia furaha kuona kwamba kumbe kuna Wanannchi wengi ambao hawapendi "Ufisadi". Nape alinukuliwa akisema "Pamoja na Kwamba Mshenzi yule leo amepanda Jukwaani kuhutubia, Lakini nimefarijika sana na wale wananchi waliokuwa wanazomea, Hii inanipa nguvu ya kuendeleza Mapambano maana tuna Mtaji wa watu wanaochukia Ufisadi".
Wadadisi wa Mambo wanasema kwamba Kuzomewa kwa Lowasa kuna Mkono wa Nape na ikizingatiwa kwamba siku chache kabla ya Lowasa kupanda Jukwaani Nape na Wenamgambo wa Ufisadi wa CCM walituhumiwa kusambaza Waraka unaowataka Wananchi wa Arumeru kumkataa Sioi ambaye ni Alipitishwa kwa Nguvu ya Lowasa. Nape hakukubali wala Kukanusha tuhuma hizo
Vilevile Nape ameonekana kupoteza Imani na Mwenyekiti wake kwamba haeleweki yuko Upande gani maana akikitana Naye anawapa Nguvu ya Kupambana na Lowasa ambaye kila kukicha anazidi kupata Uungwaji Mkono Ndani ya CCM. Aliposhauriwa ajiuzulu Nape alijibu kwa Ukali " Familia yangu utailisha?
wewe hili swali huwa hunijibu,r u chadema ama ccm?au wewe chama chako cha lowassa kwa kuwa mlutheri mwenzako so humtaki slaa kisa sio mlutheri mwenzako hata kama unaipenda chadema