Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
EL jana kwenye ule mkutano wake ameonekana akiselebuka kwa mbwembwe nyingi. Vuvuzela alisema hatapanda jukwaani, yako wapi? that is a break through, hakuna yeyote wa kumzuia tenaaaa! in short jamaa alijaza watu no mater hao watu walitoka wapi.