Naona porojo tu,hamna ufafanuzi wa nyie kutumiwa na CCM na hata kupewa pesa na vitu vya kufanya!!
Vipi na kauli na onyo la Juliana Shonza kuwaanika kuwa nyie ni genge la wahuni tu mnaotumika??!!
Onyesha mahali kwenye hiyo statement yake akisema amekerwa na maneno ya uzushi .......@ haki sawa hii taarifa ndivyo ilivyotoka hakuna kilicho ongezwa hapo mkuu
Kuijadili ACT ni kuipa umaarufu ambao haina,wapuuzieni tu na agenda zao,mwisho wa siku ukweli utajulikana
ACT, mnapaswa kuwa serious katika kujibu shutuma, huwezi kuzushiwa shutuma nzito kama za kufadhiliwa na LOWASA halafu ukatoa ,majibu mepesi mepesi tu. Vinginevyo wengi tutaamini kuwa ACT imeanzishwa kama pango la watu wanaokataliwa ndani ya vyama vyao