eti ndo anautaka uraisi hata kukanusha hajui.kilaza at work
Mh Siamini, kama kweli sijui maana wanachadema wengi wanampenda Lowasa, na wanakipenda chadema ,
Lowasa kama hii issue ni kweli itamgharimu maana chadema kuna wapiga kura wengi wanao mkubali Lowasa.
sio chadema tu, kila chama na hata wasio na vyama
kumbuka over 50% ya watanzania hawana chama chohcote cha siasa...
Machadema mtakua lini? Kucha kutunga hekaya. Uzushi na uwongo hautawasaidia kuimarisha saccos yenu. Mnajazana ujinga
Mkuu naunga mkono hoja yako,naona sasahiv wameona hyo saccos yao imepoteza mwelekeoa wamekuja na swaga mpya,halaf huwa nashindwa kuelewa hawa mods humu ndani huwa kaz yao ni nn???
nchi hii hakuna gazeti la mtanzania daima uache kukurupuka
SACCOS ya ZITTO (ACT) inawafadhili kiasi gani kuleta ujinga huu? Zile bilioni 3.6 zimeisha?
Maisha yangu sasa toka nijitambuwe kunamagazeti ya
1 Tanzania daima
2 uhuru
3 mzalendo
Kamwe siwezi kutowa sh 1 kununuwa hata bure siwezi
Kusoma
Magazeti yamekaa kiudaku tu kwa kumfuraisha boss kasema nn
Kumbe wakati mnamvua vyeo vyake vyote na hatimae mkafikia hatma ya kumfukuza uanachama mlitegemea aelekee kibla mumchinje kiulaini? ni ngamia pekee alopewa ujasiri huo hivyo kama ilivyowahi kuimbwa "MTOTO WACHA KUPIGA WAYOWE UACHE WATU WAONE WENYEWE
Habari za kutunga zina mvuto kusoma lakini hazina mashiko....hii hadithi inatufundisha nn??? Mtu akituma anajituma kweli....uzushi mtupu!!! mwenye ukweli na maisha na mipango yake ni EL mwenyewe....!!!
kwikwikwi... sio kila mtoa mawazo analipwa, wengine wana uwezo wa kujilipia mawazo yao
BTW, ujinga ni wako na wazazi wako maana unaropokwa bila kuelewa why people say what they say