KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Taarifa hiyo ni ya kupikwa na gazeti la Tanzania Daima ambalo linamilikiwa na Mbowe,huo ni mkakati endelevu wa kumchafua ZITTO KABWE na chama cha ACT, CDM wana kiwanda cha kupika uongo.
Hii habari ikifanana na Ile ya Juliana itakuwaje?