ndugu huzijui taratibu? mbona mradi wa Dart kauzindua wakati bado haujakamilika? Huyo ndio JK bwana hakuna kama yeye Tanzania. 2015 atatufanyia wepesi wa kurudi madarakani kwa utekelezaji wake wa ilani ya chama.
KWELI JK HATUKUKOSEA KUKUPA IMANI.
kibaya chajitembeza kizuri chajiuza, jk hauziki hata azindue reli ya umeme