zile machinga complex atazindua lini alizoahidi atajenga miji yote mikubwa?Lini atazindua ujenzi wa reli ya kati hadi kigoma kama alivyoahidi??hiyo ndio tunaisubiria tunataabika sana tunataka train ya umeme kama ahadi yake ilivyokuwa!
zile machinga complex atazindua lini alizoahidi atajenga miji yote mikubwa?Lini atazindua ujenzi wa reli ya kati hadi kigoma kama alivyoahidi??hiyo ndio tunaisubiria tunataabika sana tunataka train ya umeme kama ahadi yake ilivyokuwa!
samahni wakuu nmeshindwa kuweka updates sababu ya network inasumbua sana. sitaweza kuendelea kuweka updates. anaye ongea sasa hivi ni magufuli anasema kwamba watu watalipwa fidia wale wanao sitahili. sasa hivi tumeanza kujenga daraja baharini sababu bahari haihijaji fidia. barabara itakuwa na flyover pale uhasibu na itapita chini ya reli ya tazara. magufuli kasema tanzania ina madaraja 4880, akataja mbutu km3, sibiti, malagalasi, kilombero. daraja litakuwa la kulipia isipokuwa watembea kwa miguu. mia
atueleze deni la TAIFA limefikaje tirioni 24,,,,NDO NTAMUELEWAHaya sasa wanafiki nendeni pia katika balozi za wahisani mukawaeleze miradi ya maendeleo inatekelezwa na serikali ya JK.
hivi mliopo hapo mtujuze, daraja hilo ndilo lile lililooneshwa kwenye plan ambayo picha yake hii hapa?
nimeipenda hii mkuu ...lakini mbona landscape ya Vijibweni haifanani na hii picha!!??? Au ni ushamba wangu!Hivi mliopo hapo mtujuze, daraja hilo ndilo lile lililooneshwa kwenye plan ambayo picha yake hii hapa?
Kwa ninavyoona kwa hili daraja maana lilikuwa katika mipango ya MkapaJK anatimiza 'ahadi' za Mkapa ??
Kwa ninavyoona kwa hili daraja maana lilikuwa katika mipango ya Mkapa
Daraja linajengwa na kutumia kodi za watanzania, ccm hawajengi daraja ni serikali inasimamia ujenzi kwa niaba ya wananchi wa tanzania. Pumbavu zao wanataka kusema ccm ndio inalijenga hilo daraja?
anaye tangaza ni meck sadick. anasema daraja hili litaunganisha mji wa dar esalaam na mji mpya wa kigamboni. anasema daraja litapunguza foleni ya kivuko cha magogoni. Ukamilishaji wa mji mpya wa kigamboni unategemea ushiriki wa wakazi wa kigamboni. mradi huu una manufaa makubwa kwa wakazi wa dar. Huu ni utekelezaji wa irani ya ccm. tunakupongeza sana kwa kutekeleza ahadi za ccm. napenda kuwahakikishia wananchi walio kuwa wanatumia vivuko vya waananchi kwamba tumeshapata sehemu mbadala anasema sadick. mia
Hebu angalia hapo chini halafu niambie ni ngapi katimiza mpaka sasaSasa mbona huyo mkapa hakutimiza na ameishia kuuza nchi yote, madini, nyumba za serikali na mengine ! mpango huuu ulikuwepo tokea 1971! marais wangapi wamepita hapo! hebu mpeni sifa yake Rais Kikwete !
ndugu huzijui taratibu? mbona mradi wa Dart kauzindua wakati bado haujakamilika? Huyo ndio JK bwana hakuna kama yeye Tanzania. 2015 atatufanyia wepesi wa kurudi madarakani kwa utekelezaji wake wa ilani ya chama.
KWELI JK HATUKUKOSEA KUKUPA IMANI.
Huyo Mecky Sadick anataka kutueleza kwamba Kigamboni kumbe si sehemu ya Dar es salaam
Kwenye nyekundu hapo sijaelewa mkuu... flyover kivip? halafu kile kipande cha pale ilipokua BP mpaka round about ya kuja water front na ingine Kwenda Kamata watakifanyaje?
Sasa itabidi tumuite jina la 'JK Mzinduaji'. Maana huu mradi wa DART alishauzindua mwaka 2010 wakati waziri akiwa ni Shukuru Kawambwa !!
Jana kauzindua tena mradi huo huo !!
Naona labda ilani ya CCM ni 'kuzindua-zindua' miradi !!
Hakika JK Tutakukumbuka kwa kuwekeza kwenye miundo mbinu na hasa ujenzi wa Bomba la gesiSept 2010, Rais Kikwete - "Daraja la Kigamboni tutalijenga, NITALIZINDUA".Sept 2012, rais Kikwete azindua ujenzi wa daraja la Kigamboni.Asiyeshukuru kwa kidogo, hata akipewa kikubwa atanuna.Hongera Mh. Rais kwa kutekeleza ahadi...
Hivi mliopo hapo mtujuze, daraja hilo ndilo lile lililooneshwa kwenye plan ambayo picha yake hii hapa?
tunachotaka ni NSSF yetu! period! rais aliyelaanika, simtaji jina ila mnamjua!