Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,882
- 2,374
Kesho kazi ipo nzito zaidi. nitakua very busy.
Jumatatu wakuu, nimejitahidi sana, ila makombora yakija makubwa nitajimuvujisha na kujibu.
Asanteni
Nawasoma
Mhe. FD na wewe unagombea NEC? ikiwa hivyo kila heri lakini usitoe rushwa (Joke)
Ahsante kwa kutuhabarisha.