FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Naama na hili ndilo tamko ambalo wengi mlilitegemea ndugu CMB.JK he cannot touch any serious issues ataongea kama anahutubia watoto wa secondary . Lakini JF pia inamnyima raha JK si siri maana hata Bungeni wanafunika hapa JF ni moto.
Naam it is break time na tukirudi baadaye nitakuwa na machache naenda kuongea na wajumbe kusikia kama wame elewa hotuba ya Mwenyekiti wao .
Baadaye
Lunyungu, either haupo Kizota au hauna access na TV, naona hapo juu mmeandika kuwa TV zote zinaonyesha.
Hotuba ya JK ilikuwa nzuri sana, na ameongela mambo karibu yote!
Ambacho hakuongelea ni kwanini mikataba ni siri.
Uliza swali lolote nikujibu kama alivyoelezea kwenye hotuba yake. Kaelezea mpaka BOT. Jamani hivi nyinyi ni wapinzani mnaotaka damu imwagike au mnataka nini?!
Jaribuni kujadili vitu kwa kufikiria kwanza! Sio kupinga tuuu.