Lipumba, Mbatia na Cheyo ndani ya dakika 45 za ITV

Naona wanaongea vitu obvious, hata mtoto wa darasa la 7 atayasema haya haya,naona wanaongea nje ya hizo nukuu,
huyu jamaa naye hata hana maswali anawasikiliza tu
 
Unawapotosha watanzania ambao hawana access ya ITV.

Upo rahisi sana kuwa distracted...no wonder unalalama sana kuhusu uvaaji wa wanawake as if kilichokuto anje ya nyumba hakikutoshi ku occupy ya brain and the little huy between your legs..
 
Mwaliko ulipelekwa kwa vyama vitano vya siasa, CDM na ..,(napata kichefuchefu kutaja)hawajatokea
Wameshindwa kualika chama cha upinzani CDM badala yake wamealika ccm b,ccm c na ccm d
 
Naona na kumsikia mwongoza kipindi, Seleman Semunyu ameamua kudanganya juu ya kile anachokiita ni mwaliko wa CHADEMA kuhudhuria kipindi hicho.

Hakualika CHADEMA. Alikuwa anatafuta individuals kutoka CHADEMA wahudhurie kipindi hicho, sasa kama juhudi zake za kuwatafuta hao watu, at their personal level, zilishindikana ni vyema akawaambia hivyo watazamaji badala ya kuwapotosha kuwa eti aliwaalika CHADEMA lakini hajui ni kwa nini hawajafika!

Anataka kutuambia kuwa mpaka anakwenda studio hakuwa amehakikisha wanajopo wa mjadala ambao hawajafika, nini kimewasibu, wako wapi, kwa nini hawajafika. This is very unusual.

Kama mwandishi wa habari hawezi kuwa conscious kuwajibika kusema ukweli kadri anavyoujua, badala yake anadiriki kutokuwa mkweli na kupotosha kile anachokijua, mbele ya mamilioni ya Watanzania, basi hii ni hatari sana.
 
Lipumba anamkumbuka Nyerere kwa version ingine,tofauti na ile ya Baraza la mitihani.
 
Msamee mleta mada hajui tofauti ya vipindi, kipindi kikihoji viongozi ni dk 45!
 
Naona na kumsikia mwongoza kipindi, Seleman Semunyu ameamua kudanganya juu ya kile anachokiita ni mwaliko wa CHADEMA kuhudhuria kipindi hicho.

Hakualika CHADEMA. Alikuwa anatafuta individuals kutoka CHADEMA wahudhurie kipindi hicho, sasa kama juhudi zake za kuwatafuta hao watu, at their personal level, zilishindikana ni vyema akawaambia hivyo watazamaji badala ya kuwapotosha kuwa eti aliwaalika CHADEMA lakini hajui ni kwa nini hawajafika!

Anataka kutuambia kuwa mpaka anakwenda studio hakuwa amehakikisha wanajopo wa mjadala ambao hawajafika, nini kimewasibu, wako wapi, kwa nini hawajafika. This is very unusual.

Kama mwandishi wa habari hawezi kuwa conscious kuwajibika kusema ukweli kadri anavyoujua, badala yake anadiriki kutokuwa mkweli na kupotosha kile anachokijua, mbele ya mamilioni ya Watanzania, basi hii ni hatari sana.

Kwa nini Chadema hawakutokea baada ya kupewa mualiko tupe jibu.
 
Kipindi kinaitwa Kumbukumbu ya MWL. JK NYERERE.

Nashukuru kwa angalizo.Ingawa mtayarishaji kabadili tuu jina kama special edition.Next time jitahidi kutopoteza muda kwa side discusions
 
Back
Top Bottom