ITV imenunuliwa na mafisadi kutorusha habari za Makonda?

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Hivi kiongozi mwenezi wa chama ana impact gani kubwa kwenye habari za kitaifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awali ya yote unapaswa kufahamu kuwa ITV ni kituo binafsi hivyo hakina shurtisho la kuonyesha kila unachotaka wewe.

Pili, si kila mtu anamuona Makonda ni wa muhimu sana kama umuonavyo wewe. Kwa nafasi yake Makonda ni msema chochote tu wa chama, japo kajitiwika ukatibu mkuu kabisa na kuanza kutukana na kudhalilisha watu ambao hana hata mamlaka nao.

Mwisho na la muhimu zaidi, kuna channel nyingine kadhaa zinazoonyesha habari za Makonda kuwa huru kutazama hizo. Kinyume na hapo kama mfuko unaruhusu fungua ya kwako mwenyewe iwe na maudhui ya Makonda tu.
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Kwani Makonda ni nani Tanzania hii.
 
Awali ya yote unapaswa kufahamu kuwa ITV ni kituo binafsi hivyo hakina shurtisho la kuonyesha kila unachotaka wewe.

Pili, si kila mtu anamuona Makonda ni wa muhimu sana kama umuonavyo wewe. Kwa nafasi yake Makonda ni msema chochote tu wa chama, japo kajitiwika ukatibu mkuu kabisa na kuanza kutukana na kudhalilisha watu ambao hana hata mamlaka nao.

Mwisho na la muhimu zaidi, kuna channel nyingine kadhaa zinazoonyesha habari za Makonda kuwa huru kutazama hizo. Kinyume na hapo kama mfuko unaruhusu fungua ya kwako mwenyewe iwe na maudhui ya Makonda tu.
Ww mtu una akili sana aisee sidhani kama ww ni mtanzania unastahili uishi Nigeria Canada USA UK SA nk
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Yaani wewe unaishi naye pengine na kulala naye. Huridhiki unataka tena umwone na ITV? Nyie wanawake hamweleweki kabisa.
 
Screenshot_20231022-210336.jpg

Bashite yeye ni kama nani ???????
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Hii dunia kwa sasa habari ni kiganjani saa 24/7
Nani ahangaike na ITV?,wajinga pekee
 
Back
Top Bottom