Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Rais wa zanzibar 2000 hadi 2010 Amani Abeid Karume, akiri kuandaliwa kuchukua wadhifa huo.
Akihojiwa ktk kipindi cha ITV DK 45 leo usiku, amesema aliitwa na wazee na kuambiwa Dkt Salmin anamaliza muda wake "Tunataka wewe uwe Rais"
Baada ya hapo alienda kuchukua fomu ya urais na ktk mchujo alishinda yeye.
SWALI: Kumbe mgombea urais huandaliwa mapema na wale wagombea wengine ni wasindikizaji tu? Je, wagombea wengine huwa wanajua juu ya mmoja wao kuandaliwa?
Akihojiwa ktk kipindi cha ITV DK 45 leo usiku, amesema aliitwa na wazee na kuambiwa Dkt Salmin anamaliza muda wake "Tunataka wewe uwe Rais"
Baada ya hapo alienda kuchukua fomu ya urais na ktk mchujo alishinda yeye.
SWALI: Kumbe mgombea urais huandaliwa mapema na wale wagombea wengine ni wasindikizaji tu? Je, wagombea wengine huwa wanajua juu ya mmoja wao kuandaliwa?