Lina Sanga na Wema Sepetu kwenye mtafaruku kisa mwanaume

siku bongo movie na bongo fleva wakiamulishwa na serikali kupima ukimwi wazi wazi kabla ya kupanda ndege hakuna atakayedhubutu kupanda.
 
Wema kapostia wadau
 

Attachments

  • 1433521790861.jpg
    1433521790861.jpg
    33 KB · Views: 313
  • 1433521807787.jpg
    1433521807787.jpg
    35.6 KB · Views: 303
Ila kajala alivyomuiba CK walimtukana sana, kumbe mwanaume haibiwagi?

Huyo kifupi nyundo anatafuta kiki tu... Na nasikia ana mimba atulie tu asije jifungua kabla ya siku

Pale ishu ilikua BFF ... Kajala and Wema as best Friend bhasiiiii
 
Huyo kifupi nyundo anatafuta kiki tu... Na nasikia ana mimba atulie tu asije jifungua kabla ya siku

Pale ishu ilikua BFF ... Kajala and Wema as best Friend bhasiiiii

Alikuwa anatia huruma linah alivyokuwa akiongea mwenyewe, ivi bwana ake ni king kessy anayempost wema au mwinginge?
 
Mimi nashindwa kujuwa hapa hivi ninani aliye wandanganya kuwa wema ni mwanamke wa manaume mmoja ato uyo niwakupita tu
 
Najua basi binamu... Alikua anaongea wapi kwani maana nimesoma insta na huku tu

Alihojiwa clouds ala za roho, ila nasikia wema nae ataongelea, maana alipigiwa simu na diva akasema yupo masaki anapata dinner, kwa mujibu wa linah ni kwel wema anatoka na huyo mwanaume, yani anatia huruma, kawa mpole

Mi namshauri tu aurudie ule wimbo wa sheila amwimbie wema aiseh, maana aliumia sana yani
 
Najua basi binamu... Alikua anaongea wapi kwani maana nimesoma insta na huku tu

Kimemuuma sababu akikua rafiki wa karibu na huyo bwana wakati anatoka nae

Yaani kama mtu na wake na yeye rafiki wao ikawa...kumbe W anasarandia kudumbukia, so walipokwaruzana kama kawaida inaonekana yeye akachukua mwanya anajua yeye aliongea nini huko kuchangia bwana asiendeleee na wake Linah. Ndio maana imemuuma Linah ni kama pia Linah hakuongea yoteeeeeee

Haya na mie nimeyasoma hayoooo

Aagh natumaini mwanaume nar anapenda kuandikwa kuzungumziwa basi ataendelea kwa raha zake maana wamesha.do
 
Alihojiwa clouds ala za roho, ila nasikia wema nae ataongelea, maana alipigiwa simu na diva akasema yupo masaki anapata dinner, kwa mujibu wa linah ni kwel wema anatoka na huyo mwanaume, yani anatia huruma, kawa mpole

Mi namshauri tu aurudie ule wimbo wa sheila amwimbie wema aiseh, maana aliumia sana yani

Haaaa alizani kapata ndio kapatikana huyo Lina.. Alee mimba

Amini alimpenda kwa
Dhati akalijia jiji kwa pupa ... Atapata danga lingine tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom