Lina Sanga na Wema Sepetu kwenye mtafaruku kisa mwanaume

Kimemuuma sababu akikua rafiki wa karibu na huyo bwana wakati anatoka nae

Yaani kama mtu na wake na yeye rafiki wao ikawa...kumbe W anasarandia kudumbukia, so walipokwaruzana kama kawaida inaonekana yeye akachukua mwanya anajua yeye aliongea nini huko kuchangia bwana asiendeleee na wake Linah. Ndio maana imemuuma Linah ni kama pia Linah hakuongea yoteeeeeee

Haya na mie nimeyasoma hayoooo

Aagh natumaini mwanaume nar anapenda kuandikwa kuzungumziwa basi ataendelea kwa raha zake maana wamesha.do

Wengine tulikua hata hatumjui yaani... Hapa ndio tushamfahamu.. Alimlia timing Wema nae mbaya in joti's voice lol
 
Ah, watu wamepiga sana. Katika orodha Amini ndo anajulikana sana. Hata huko Domo anajulikana sana lakini kuna Late K, Charles Baba, Clement n.k
 
Mbona nasikia amini ndio alikua anamdunda sana Lina?
By the way, warumi, unajua Deal za shemeji yako mupya?

Huwenda alikuwa anampiga.....lakin jamaa alikuwa anampenda sana bi mdashi.Kaona tako litampa bwana wa maana
 
Last edited by a moderator:
Wasanii wa Bongo kazi wanayo daily Ku share dudus. Sasa mmoja akiwa mgonjwa sijui inakuaje.

Kifua ni kupokezana istoshe bidada kwa ule mkorogo wke akianza dozi lazma awe n rangi kma rainbow......acha wa2 wapige 2 huo mpapa wake umri wake bdo
 
Asante mwaya nimeifuatilia na kuisoma.Kumbe ni yule mshiriki wa BBA? Nilishamsahau kabisa.
Haya bwana yetu macho.

Huyu dada cjui ni ile damu y upande wa mama ndio inamletea shida mana imekua hatari ila kifua kikianza ndio atatia akili
 
Wewe ungevumilia kipigo?
Lina siku izi kawa mwarabu....

Unanilisha maneno kinywani mwangu??nimekwambia huenda alikuwa anapigwa....ila ipo sababu kwani Amini chizi apige mtu bila sababu?

Kuhusu kuwa mwaraabu.....namtakia kila la heri na uarabu wake na kipini chake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom