LHRC yaitisha Maandamano nchi nzima kupinga malipo ya DOWANS

nimepitia comment zote sijaona ya mwita 25, faiza fox etc. Naona gamba moja ndio linaingiza siku RITZ1 je wengine wametemwa au hawajawezeshwa???
 
Kama kweli tuna uzalendo wa kweli na nchi yetu, kama tunathamini kodi zetu na tuanhitaji serikali iwajibike kwetu na muda wote iwe sikivu na kufanya kazi kwa maslahi ya umma, basi hatuna budi kujitolea kuingia barabarani kadri itakavyokuwa imeelekezwa na waandalizi wa maandamano hayo.

Tusiishie kuandika maneno mengi kwenye mitandao tukiwa tumejificha nyuma ya computer lakini tunapohitajika kuonyesha yale tunayoyasema kwenye mitandao kwa vitendo, tunapoteana.

Bila shaka kipimo cha uzalendo wetu ndio hiki, tuonyeshe uzalendo wetu, tupinge wizi wa mchana na zaidi tushinikize wale wote waliotuingiza kwenye huu mkenge washughulikiwe kikamilifu.

Mkuu! Kweli 2kiacha kujificha nyuma ya computer haki UKOMBOZI hata leo na natarajia mema ktk hili litakalojiri. Na nategemea Watanzania wata2unga mkono kwa 100%. UKOMBOZI UMEKARIBIA!!
 
By HASINA MJINGO, 8th October 2011 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 269

Chadema has given the government a one month ultimatum to withdraw plans to pay Dowans compensation.



10_11_2z4n3q.jpg

Mr John Mnyika (??)

"Failure to do so, we shall call for a countrywide demonstration to protest against the move to pay Dowans," said, Mr John Mnyika, the Ubungo Chadema legislator on Saturday at a press conference in Dar es Salaam.

International Commercial Court had in November last year awarded Dowans Holdings SA (Costa Rica) and Dowans Tanzania Limited $65.8 million for wrongful termination of a power generation contract in 2008.

Tanesco was asking the court to set aside the award or remit it to ICC for reconsideration for, among other reasons, being against public policy and disregarding its evidence at the hearing.

"Tanzanians should not be involved in compensating Dowans, if the government wants to respect the court order to pay Dowans, then the accused should liquidate their properties to pay up, their names were mentioned on September 15, 2007, we have no problem mentioning their names again," said the MP.

He added that the money that the government will pay Dowans, should be used to reduce the hardships of the cost of living.

He argued that it should also be used to pay teachers who the government owes more than 29 billion/-, pay East African retirees, or better yet provide loans for 14,000 students who are unable to go to university because the government has failed to give them loans.

He said that if the government will not respond after one month, they will convene a nationwide protest, and if the government intends to pay the debt quickly and within a month, they will still demonstrate.

Last month, the High Court allowed Dowans Tanzania Limited to be awarded 94 billion/- by the International Commercial Court (ICC) after Tanzania National Electric Supply Company (Tanesco) lost a petition seeking to block the payment.

Judge Emilian Mushi also ordered Tanesco to pay all petition costs incurred by Dowans in its defence and told the petitioners (Tanesco) they have a right to appeal.

The public utility company alleged that public procurement rules were grossly flawed in 2006 when the government directed Tanesco to award the contract to Richmond Development Company (RDVECO), which later passed the contract to Dowans.

Tanesco argued that the tribunal did not consider its evidence that Richmond lacked capacity to honour the contract.

It was also dissatisfied with what it described as 'erroneous interpretation of the Public Procurement Act, 2004' by the tribunal.
http://dailynews.co.tz/home/?n=24337&cat=home

Govt given ultimatum over Dowans payments

BY KARAMA KENYUNKO

12th October 2011

headline_bullet.jpg
Activists planning peaceful demonstrations
headline_bullet.jpg
Tanesco to file appeal against High Court ruling today


NkyaDowans.jpg

Tanzania Media Women Association executive director Ananilea Nkya gestures as she makes a point at a news conference convened by activists in Dar es Salaam yesterday.


The government was yesterday issued a two days ultimatum to suspend payment of 94bn/- compensation to Dowans Holdings as instructed by international court.
The ultimatum was given by a coalition of activists who have threatened to stage peaceful demonstrations on Friday if the government does not respond positively to their demand.
Speaking on behalf of the activist's coalition in Dar es Salaam, Executive Director of Sikika, Irenei Kiwia said the demonstration would involve ordinary citizens as part of honouring Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere who was against misuse of public funds and resources.
Kiwia called on Tanzanians to come out in big numbers for the demonstrations, clad in black attires and national flag scurf to symbolize patriotism and mourn the late Nyerere who died on October 14 twelve years ago.
"It is our constitutional right, so lets us use it to ensure that Dowans is not going to receive any money from the government. We are entitled to protect the country's resources," he added.
He said if Tanzania is forced to pay Dowans by international laws then such payments should be made through selling properties of people who led the country enter into the mess.
"As taxpayers, we want the government not to pay Dowans using our money…however disciplinary measures should be taken aginst­ people behind the signing of such controversial contract", he noted.
He said the government was responsible of issuing a statement to explain the reasons that made it ignore the legal advices give by Hunton & Williams LLP to breach the contract with Richmond Development Company since it was proved that the company was incapable of generating power.
He named the activists organizations that have united against Dowans payments as Agenda 2000, Hakielimu, Tanzania Media Women Association (TAMWA), Tanzania Gender Networking Programme (TGNP), Human for Development Trust (HDT), Legal and Human Rights Center (LHRC) and Sikika.
Meanwhile, Tanzania Media Women Association (TAMWA) Executive Director Ananilea Nkya said that it wasn't fair for the government to pay Dowans while teachers and ex EAC employees were struggling to get their payment arrears for years.
"If Dowans will be paid, then teachers and ex-EAC workers should get their payments too", she said.
For his part, Albanie Marcossy, LHRC Programme Officer and Parliament Watch said they had decided to take the matter to the people after the High Court had finally ruled that Dowans should be paid.
Last month the High Court registered the hotly contested 94bn/- award settlement applied by Dowans Holding SA and Dowans Tanzania Ltd against Tanesco, bringing to the fore the issue of who pays the money.
The High Court threw out an objection filed by Tanesco against registration of the award.
It also ordered Tanesco to pay the cost of running the case incurred by Dowans.
Judge Emilian Mushi said the court reached the decision on the basis of terms of the contract agreed by the interested parties (Tanesco and Dowans Holding SA and Dowans Ltd).
According to the Judge, the parties had agreed that any dispute would be settled by the International Chamber of Commerce (ICC) for arbitration, and that the loser should not appeal to any other organ whereas the winner would be awarded immediately.
Tanesco had in 2007 entered into a contract with Richmond Company for emergency power generation contract, which Richmond passed over to Dowans. Dowans was required to produce 100MW, but the deal turned sour and was terminated.
The Legal and Human Rights Centre (LHRC) petitioned against registration of the award by High Court, but this was struck out by the court.
Apart from the LHRC, other petitioners who attempted to block the award are Kahoho, Lawyers Environment Action Team (LEAT), and SIKIKA Company Limited.
Meanwhile, Tanesco is today expected to file an application for leave of appeal against the ruling of the High Court in the Dowans saga.
Speaking with the Guardian yesterday Tanesco Advocate Hawa Sinare said that she failed to file the application yesterday because they had not completed preparing the required affidavit.
In its submission to the High Court, Tanesco had complained that the International Chamber of Commerce (ICC) arbitration was unfairly conducted, as the tribunal failed to consider part of evidence they had submitted.
Tanesco had also complained that there were misconducts on the part of ICC tribunal in the arbitration, with a lot of legal facts missing, asking the High Court to dismiss the ICC ruling or set it aside.
Tanesco argued that awarding 94bn/- to Dowans Ltd would go against public interest.
However, Dowans's lawyer, Kennedy Fungamtama submitted that any attempt by the government to block the award would frustrate other would-be investors to come and invest in Tanzania.
The latest High Court decision to register the award has provided legal mandate for the ruling to be enforceable in the country.




SOURCE: THE GUARDIAN




KAZI IPO KWA STAILI HII YA WATANZANIA AMBAYO INAONEKANA KAMA TUNAVURUGANA WENYEWE KWA WENYEWE.

 
Mlima gani kuna milima mingi Kitonga, Sekenke, Nyashana, fafanua baada ya kutoka Mlimani wapi?

Acha kujifanya unaishi mwezini, we hujui mlima au kilele cha elimu kipo kwenye mlima pekee wa dar es salaam, hebu acha kupindisha hoja acha watu tujadili ni jinsi gani tutashiriki hayo maandamano, ukirudia tena kupindisha hoja ntakupoteza siku tatu.
 
Napendekeza watengeneza tshirts zenye maneno ya kupinga na ziuzwe mapema tupo nyuma yao
 
LHRC, natofautiana nanyi! Suluhu siyo kuandamana ila ni kuwafungulia mashtaka WOTE waliohusika na sarakasi hii ya DOWANZI? RICHMOND! Wanajulikana, kama hamuwajui wasilaneni na kampuni ya HaliHalisi. Wana ushahidi wote, wameundika kwenye magazeti yao na ukweli huo haujakanushwa! Tutumie SHERIA kuwashinda KISHERIA kwani wao walitumia SHERIA (ya mikataba ya ki Mangungo), na wakashinda kesi ICC KISHERIA na Mahakama zetu KISHEIA, zimeshindwa kutengua malipo hayo kwani yapo KISHERIA!


mkuu mahakama gani itatenda haki wakati hao majaji na mawakili ma akimuu wamewekwa na hao mafisadi kusibitisha hiro kesi zote 2 zimetupwa cha msingi na sesekondal nikuingiya mitaani
 
Kituo cha haki za binadamu kimeitisha maandamo nchi nzima kuitaka serikali isilipe tuzo ya tzs 111bil kwa dowans, wanaharakati hao wamesema maandamo yatkwenda siku kumi mfululizo iwapo serikali itashindwa kutoa tamko juu ya malipo hayo!

Wamewaomba wananchi kuvaa nguo nyeusi na kujifunga bendera ya nchi kichwani kuashiria maombolezo juu ya yale yanayofanyika nchini!

Mama Ananilea Nkya amesema nchi yetu haina deni, na hizi pesa ni zawadi au charges kwa kuvunja mkataba ambao haukuwa na nguvu kisheria!

WARATIBU WA HAYO MAANDAMO NADHANI WATATUELEZA WAPI TUNAANZIA NA KUISHIA!

NAOMBA TUENDELEE KUPASHANA HABARI NA TUTOKE MAJUMBANI KWETU NA KUTETEA HAKI YETU NA KUPINGA MAMBO YOTE YA HOVYOHOVYO! HATIMA YA NCHI IKO MIKONONI MWETU KWANI VIONGOZI TULIOWAAMNI WAMESHINDWA KUTUFANYIA TULIYOWATUMA!

NAWASILISHA!

Wanafki nyie tena mfie mbali, mnadhani tunarishika na ukoboko wenu wa kibisa? Sasa maandamano ndio nini? Tanzania inataka civil war yaani civil unrest ili tuheshimiane, Mtaishia kuumiza miili yenu bila sababu, upuuzi huu. Sio nyie mlishindwa kesi juzi kati! Hivi nyie makabechi, mnajua maana ya 'the law of contract' ama mnaibuka tu kama vimbunga?, kama hao waloingiza nchi kwenye upuuzi huu ina maana mlikuwa bagamoyo mkila samaki eehh?

Mnadhani mta 'appeal' wapi sasa, mbinguni ama? Jueni mnajitia aibu na credibility yenu mnaiua bila kujijua, mkataba means mkataba, msiwe majuha kiasi hiki, mnajitia aibu aisee....
 
MAANDAMANO HAYA NI JUU YA UTETEZI WA MASLAHI YA TAIFA IKICHEZEWA KUKIDHI MASLAHI BINAFSI YA CCM

Taifa kwanza; CCM na serikali yake vitapita lakin nchi yetu ya Tanzania itabaki.

Hivyo ni jukumu letu sote kutetea maslahi ya Tanzania na wala si kutetea maslahi ya CCM. Kwa mtu yeyote makini utagundua kwamba maandamano haya ni haki tena wajibu wa kila mmoja wetu kwa kuwa TUNACHOKIPINGA HAPA NI ULAGHAI WA CCM KUCHOTE FEDHA ZETU KWA MASLAHI YAKE KUJA KUNUNULIA KURA 2015 huku maslahi ya taifa ikiumia kwa maana ya ugumu wa maisha kuongezeka.

Vijana wote mijini na vijijini fursa ya kutetea Tanzania dhidi ya wakwapuaji wa ndani ya CCM ni hivi sasa. Jitokeze leo tuukatae hii dhuluma ili gharama ya maisha iende chini na ajira kuongezeka.
Kweli kabisa lazma tujua kuwa CCM na serikali yake vitapita lakin nchi yetu ya Tanzania itabaki, kama hatutosimama na kupinga hila hizi za wanyonyaji wa nchi yetu, wajukuu wa watoto wetu watatuona sisi ni mabogus kwa kushindwa kupinga kitu ambacho ni dhahiri kabisa. Naomba kujuzwa ni wapi tunakutana juu ya hili na lini tuanze huo mgomo.
 
LHRC, natofautiana nanyi! Suluhu siyo kuandamana ila ni kuwafungulia mashtaka WOTE waliohusika na sarakasi hii ya DOWANZI? RICHMOND! Wanajulikana, kama hamuwajui wasilaneni na kampuni ya HaliHalisi. Wana ushahidi wote, wameundika kwenye magazeti yao na ukweli huo haujakanushwa! Tutumie SHERIA kuwashinda KISHERIA kwani wao walitumia SHERIA (ya mikataba ya ki Mangungo), na wakashinda kesi ICC KISHERIA na Mahakama zetu KISHEIA, zimeshindwa kutengua malipo hayo kwani yapo KISHERIA!

We una akili kweli? hizo mahakama za kupeleka hayo mashtaka unaona zipo huru?Uwe unafikiri kabla huja changia? Kwa taarifa yako kupeleka kesi ya kupinga malipo dowans mahakamani ni sawa na kuzima moto kwa petroli.Hapa ni nguvu ya umma itakayoshinikiza mafisadi dowans na mahakama kutuacha huru dhidi ya wizi
 
Maandamano haya,yawe ya kuomboleza pia kifo cha masoud aliyeuawa kikatili na CCM
mimi nawaomba watu wa butiama wasusie uwashaji mwenge tuanadamane mwenge hauna tija siku hiyo jamani tuhamasishane pia tumchangie mwakyembe siku hiyo kwani amelishwa sumu na dowans saa ya ukombozi ni sasa
 
jamani tujitokeze kuonyesha uzalendo wetu thidi hawa wezi,tuhamasishane kwa kila namna
 
Safi sana. Tena nina hamu sana na maandamano maana toka nimeondoka Mlimani mwaka 2007 sijawai kuandamana. Jamani kwa wale ambao ni wageni wa maandamano tunawakumbusha kubeba chupa zenye maji kukabiliana na polisi kama wakifyatua yale mabomu yao ya machozi.

mkuu tumejipanga kupiga risasi za moto! maji hyatakusaidia!!
 
Nimepata faraja kuona wageni kwenye JF wamechoka na wanataka mabadiliko,Mkuu wa kaya hivi huoni au hutaki kuelewa,yametokeo nchi zenye maendeleo na busara kuliko sisii,ni aibu baada ya hapo.Kukubali matokeo ni jambo la hekima.
/
 
Safi sana. Tena nina hamu sana na maandamano maana toka nimeondoka Mlimani mwaka 2007 sijawai kuandamana. Jamani kwa wale ambao ni wageni wa maandamano tunawakumbusha kubeba chupa zenye maji kukabiliana na polisi kama wakifyatua yale mabomu yao ya machozi.
Unamsimamo kama wangu,mkuu
 
CCM TUKUTANE 'TAHRIRI SQUARE MNAZI MMOJA' NA SEHEMU NYINGINEZO MITAANI KOTE NCHINI

Kuna taarifa kwamba hofu iliotanda ndani ya CCM baada ya kuitishwa maandamano ya nchi nzima kupinga kulipwa kwa kampuni hewa ya DOWANS, sasa viongozi wa chama hicho kinaomba mkutano wa ushauriano na CHADEMA njia gani sahihi ya kufuata kupata suluhu ya kudumu.

Lakini kwngu mimi kama mwanachama wa CHADEMA na mpinga hufisadi wa aina yoyote ile nchini, nakataa kata kata kusikia kitu mashauriano kati ya chama changu na CCM juu ya hili. Not my CHADEMA!!!!!!!!!!! Let those who unilateral created the DOWANS fiasco clear it before it is too late.

Nasema
CHADEMA yangu haiwezi ikahusishwa KATIKA ZILE HATUA ZA KULIPANA TU WAKATI KIPINDI CHA KUUNDWA KWA MKATABA FEKI HAKUNA ALIYETUTAFUTA MAONI. Kwa uhakika, sitarajii kuona hata kiongozi wangu mmoja akisogelea kwenye kitu MAJADILIANO NA MAFISADI; kwenye dhuluma ya CCM dhidi ya taifa letu.

Ultimatum yetu kama Umma wa Tanzania iko wazi kabisa kama ambavyo Chombo chetu Cha Haki za Binadamu kilivyokwishawatangazia CCM kwenye Maandamano yetu ya siku 10 mfululizo.

Maandamano haya yataendelea hadi kutangazwa rasmi kwa KAMWE hata senti moja ya kodi zetu hzitotumika kulipa Dowans wala kuchukuliwa kwa mkopo wowote, hela za msaada au zawadi kwa taifa letu kukidhi hayo malipo haramu.

Kwa kuhitimisha, nawajua sana baadhi ya viongozi wa CCM walivyojawa na kiburi juu ya mambo mengi sana tu lakini haya maandamano yatasaidia kufungua ukurasa mpya kabisa katika macho ya washikadau kibao mijini na vijijini, nchini na ughaibuni.

Kumbu, mdharau mwiba miguu huota tende!!!!!!!!
 
Tafadhali sana hakikisha unatoka na chupa ya maji zile kubwa za lita 1.5 na kitaulo kidogo mkononi, wakati wote wa maandamano mnapoona askari wanasogelea lowesha kitaulo chako kabisa kiwe na maji, utakaposikia bomu limerushwa funika macho yako na hicho kitaulo halafu chuchumaa hapo ulipo kwa muda, kuwa muangalifu wakati wa kuchuchumaa watu wasije wakakukanyaga maana hicho ndicho kinachosababisha watu wengi kupoteza maisha. Tunaomba watu wa LHRC watueleze utaratibu wa kufahamiana ili tunapokamatwa na kuwekwa ndani waweze ku take stock, tukiwa wengi zaidi hawataweza kutukamata maana magereza yatakua madogo hebu tutoke tukomboe nchi yetu, tunaomba sana media watu support, hebu wasome experience ya wa pakistan wakati wa maandamano ya wanasheria vijana, kwenye ukombozi unaojulikana leo kama the black coat movement ukibeba vazi la mawakili, media ili play a very significant role kwa kuwaonyesha walioko majumbani kinachoendelea nao wakaweza kutoa uoga na kujiunga na wenzao. Tuko pamoja tunasubiri maelekezo ya wanaharakati
 
Back
Top Bottom