Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Hapa tunaibiwa kiwaziwazi kabisa.
Yaani mkuu wa wizara anayehusika na umeme anatamka wazi kuwa tuna ziada ya Mw 1400.
Halafu ghafla naibu wake anadai kuna upungufu!
Halafu mgao unatamalamaki nchi nzima.
Tuandamane kupinga huu wizi. Tuandamane watanzania.
Yaani mkuu wa wizara anayehusika na umeme anatamka wazi kuwa tuna ziada ya Mw 1400.
Halafu ghafla naibu wake anadai kuna upungufu!
Halafu mgao unatamalamaki nchi nzima.
Tuandamane kupinga huu wizi. Tuandamane watanzania.