Maandamano ya nchi nzima

genus

Senior Member
Dec 28, 2015
167
69
Kwa sasa naona kama kuna haja ya viongozi wa upinzani kuitisha maandamano ya amani ya nchi nzima ili kupaza sauti zetu na kupinga vitendo vya serikali vya ubakwaji wa demokrasia na unyanyasaji kwa viongozi wa upinzani unaofanywa na polisi kwa amri ya wakuu wa nchi...

Angalizo langu:
Viongozi hasa wa dini kwa sasa wapo kimya kama hawaoni yanayotokea lakini yakitokea machafuko utawasikia wakitutaka tuombee amani, mbona hata hawawakemei hao wanaovuruga amani?

Na hawa wanaodiriki kutuaminisha kuwa tuwaombee viongozi wetu je tuwaombee kwa Mungu yupi?.......
 
Kwa sasa naona kama kuna haja ya viongozi wa upinzani kuitisha maandamano ya amani ya nchi nzima ili kupaza sauti zetu na kupinga vitendo vya serikali vya ubakwaji wa demokrasia na unyanyasaji kwa viongozi wa upinzani unaofanywa na polisi kwa amri ya wakuu wa nchi..........
.......Angalizo langu; viongozi hasa wa dini kwa sasa wapo kimya kama hawaoni yanayotokea lakini yakitokea machafuko utawasikia wakitutaka tuombee amani, mbona hata hawawakemei hao wanaovuruga amani?......na hawa wanaodiriki kutuaminisha kuwa tuwaombee viongozi wetu je tuwaombee kwa Mungu yupi?.......
Umesema kweli, viongozi wa dini ni wanafiki wakubwa, nadiriki kusema ni marafiki wa shetani. Haiwezekani wakakaa kimya kwa haya yanayotokea. Ni wachumia tumbo tu! Wanachojua ni kuwatisha watu na moto wa milelle eti. Siwapendi hata
 
Kwa sasa naona kama kuna haja ya viongozi wa upinzani kuitisha maandamano ya amani ya nchi nzima ili kupaza sauti zetu na kupinga vitendo vya serikali vya ubakwaji wa demokrasia na unyanyasaji kwa viongozi wa upinzani unaofanywa na polisi kwa amri ya wakuu wa nchi..........
.......Angalizo langu; viongozi hasa wa dini kwa sasa wapo kimya kama hawaoni yanayotokea lakini yakitokea machafuko utawasikia wakitutaka tuombee amani, mbona hata hawawakemei hao wanaovuruga amani?......na hawa wanaodiriki kutuaminisha kuwa tuwaombee viongozi wetu je tuwaombee kwa Mungu yupi?.......
Picha: Kijana wa Arusha aolewa na mzungu UK
 
Kwa sasa naona kama kuna haja ya viongozi wa upinzani kuitisha maandamano ya amani ya nchi nzima ili kupaza sauti zetu na kupinga vitendo vya serikali vya ubakwaji wa demokrasia na unyanyasaji kwa viongozi wa upinzani unaofanywa na polisi kwa amri ya wakuu wa nchi..........
.......Angalizo langu; viongozi hasa wa dini kwa sasa wapo kimya kama hawaoni yanayotokea lakini yakitokea machafuko utawasikia wakitutaka tuombee amani, mbona hata hawawakemei hao wanaovuruga amani?......na hawa wanaodiriki kutuaminisha kuwa tuwaombee viongozi wetu je tuwaombee kwa Mungu yupi?.......
Mimi nafikiri wako sahihi kuomba watz wawaombee.
Hii yawezekana wanatamani kutenda haki lakini wanashangaa shetani anawazidi kete na kujikuta wametenda isivyo
 
Chadema tangu amekuja LOWASA mzee wa hekima na busara, anaeogopa kumwaga damu za watanzania wenzake jambo ambalo ni JEMA SANA , cha kimekuwa soft kama nyumba ya maombi, kwa hili ndio maana ccm wanafanya mambo ya KISHENZI yaliyo pita ushenzi wenyewe. CCM haihitaji ustaarabu inahitaji ushenzi, haya mambo yanayoendelea Dar ni aibu kwa magufuli.
 
Umesema kweli, viongozi wa dini ni wanafiki wakubwa, nadiriki kusema ni marafiki wa shetani. Haiwezekani wakakaa kimya kwa haya yanayotokea. Ni wachumia tumbo tu! Wanachojua ni kuwatisha watu na moto wa milelle eti. Siwapendi hata
Nchi hii haina dini. Kwani tunajenga makanisa ama misikiti umeamuha?
 
Leteni Fyokofyoko
Muone mtakavyo Fyokolewa
Maandamano nchi nzima kwalipi
Nani atolewe kishipa kisa VILAZA WACHACHE!!!!
 
Magufuli tofauti na JK ambaye alikuwa anawadekeza Chadema Magufuli yeye anawapa makavu tu.
 
Viongozi wa dini wako kimya sababu ya unafiki wa wanaolilia demokrasia leo.

Mfano ubunge wa Ester Bulaya ni matokeo ya ubakwaji wa demokrasia ndani ya CDM.

Uenyekiti wa Mbowe ni product ya huo huo upuuzi.

Mbona hamkulalamika viongozi wa dini kukaa kimya pindi wapinzani walipokuwa wanailawiti demokrasia?

Wasio waumini wa demokrasia wanapata wapi uhalali wa kuhubili democracy?
 
Ooh,rais gani dhaifu hivi,halafu anasafiri mno,,ha ha ha ha.
Sasa tunae rais imara na hasafiri ng'o...NI KAZI TU
 
Back
Top Bottom