Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Big Up mkuu kwa maelekezo mazuri hapo chini!!!!!!!!!!!!!!
Lakini, kwa hili la kusubiri maelekezo; sote tuwe sehemu na chachu wa mabadiliko tukiwa katika nafasi ya kushika ushukani wenyewe nala kusionekane wengine ni abiria tu kwenye jahazi la kushinikiza kutokee mabadiliko ya aina yoyote ile.
Lakini, kwa hili la kusubiri maelekezo; sote tuwe sehemu na chachu wa mabadiliko tukiwa katika nafasi ya kushika ushukani wenyewe nala kusionekane wengine ni abiria tu kwenye jahazi la kushinikiza kutokee mabadiliko ya aina yoyote ile.
Tafadhali sana hakikisha unatoka na chupa ya maji zile kubwa za lita 1.5 na kitaulo kidogo mkononi.
Wakati wote wa maandamano mnapoona askari wanasogelea lowesha kitaulo chako kabisa kiwe na maji, utakaposikia bomu limerushwa funika macho yako na hicho kitaulo halafu chuchumaa hapo ulipo kwa muda, kuwa muangalifu wakati wa kuchuchumaa watu wasije wakakukanyaga maana hicho ndicho kinachosababisha watu wengi kupoteza maisha.
Tunaomba watu wa LHRC watueleze utaratibu wa kufahamiana ili tunapokamatwa na kuwekwa ndani waweze ku take stock, tukiwa wengi zaidi hawataweza kutukamata maana magereza yatakua madogo hebu tutoke tukomboe nchi yetu, tunaomba sana media watu support, hebu wasome experience ya wa pakistan wakati wa maandamano ya wanasheria vijana, kwenye ukombozi unaojulikana leo kama the black coat movement ukibeba vazi la mawakili, media ili play a very significant role kwa kuwaonyesha walioko majumbani kinachoendelea nao wakaweza kutoa uoga na kujiunga na wenzao.
Tuko pamoja tunasubiri maelekezo ya wanaharakati