Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,634
- 10,715
Nimekuwa nafuatilia thread mbali mbali ktk jukwaa hili na swala la modem limekuwa likijitokeza sana katika mijadala.
Nimeona nianzishe post hii ili kufanya chaguo zuri la modem maana niliyonayo ya sasatel ile ya zamani haipo sapported na window 7 niliinstall badala ya win xp.
Kwa mujibu wa post mbali mbali nimeona yafuatayo
>Vodacom wana modem za sh 45,000 na 55,000.
>Airtel wana za sh 65,000.
>Tigo wana za sh 30,000(sina hakika sana kama nibei au ilikua promo na imeisha).
Ninacho jiuliza ni je-
>Ni modem gani kati ya hizo ni rahisi kuchakachua kwa mitandao yote tajwa?(i wish ingekuwa ya tigo maana bei yake ndogo).
>Ni modem gani inaufanisi mzuri baada ya kuichakachua bila kujali ugumu wa kuchakachua wala bei?
>[a]kuna utofauti gani wa hizi modem ingawa zote zinaweza kuingiliana line baada ya kuchakachua?kuna utofauti gani kwa modem mbili za Vodacom?
>bundle zao zikoje na speed zao.
Nimejaribu kucheck na site zao kuhusu bundle lakini kunabaadhi ya budle hazipo ktk site zao.
Pia linapokuja swala la unlimited haya mambo ya speed yananitoa nje sana na vipimo vyake sijui mpbs, mps nk which is which.
Your contribution will be highly appreciated
Nimeona nianzishe post hii ili kufanya chaguo zuri la modem maana niliyonayo ya sasatel ile ya zamani haipo sapported na window 7 niliinstall badala ya win xp.
Kwa mujibu wa post mbali mbali nimeona yafuatayo
>Vodacom wana modem za sh 45,000 na 55,000.
>Airtel wana za sh 65,000.
>Tigo wana za sh 30,000(sina hakika sana kama nibei au ilikua promo na imeisha).
Ninacho jiuliza ni je-
>Ni modem gani kati ya hizo ni rahisi kuchakachua kwa mitandao yote tajwa?(i wish ingekuwa ya tigo maana bei yake ndogo).
>Ni modem gani inaufanisi mzuri baada ya kuichakachua bila kujali ugumu wa kuchakachua wala bei?
>[a]kuna utofauti gani wa hizi modem ingawa zote zinaweza kuingiliana line baada ya kuchakachua?kuna utofauti gani kwa modem mbili za Vodacom?
>bundle zao zikoje na speed zao.
Nimejaribu kucheck na site zao kuhusu bundle lakini kunabaadhi ya budle hazipo ktk site zao.
Pia linapokuja swala la unlimited haya mambo ya speed yananitoa nje sana na vipimo vyake sijui mpbs, mps nk which is which.
Your contribution will be highly appreciated