sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Haki sawa iko wapi hapa? Sie siku 1 tu, wao 364!!!tunaweza endelea tu
ila ujue sasa hivi siku zao zishaanza tena.
Afu mzunguko mreefu, 364.
Umeamkaje kongosho!
Haki sawa iko wapi hapa? Sie siku 1 tu, wao 364!!!tunaweza endelea tu
ila ujue sasa hivi siku zao zishaanza tena.
Afu mzunguko mreefu, 364.
Morning SweetLadyLol, itakuwa wamelifananisha na mzizi wa dawa gani?
Salam nilizipata na nilizijibu pia!..
Morning too Erickb52, how are you?Morning SweetLady
Cool.Morning too Erickb52, how are you?
Cool.
Wifi yako Kaby hajambo?
Ok sawa...Amy sijaonana nae pia ila natumai hajambo kabisa na muda si mrefu atakuwa hapa jukwaani.Atakuwa hajambo, sijaonana nae so sina uhakika. Hajambo Amyner?
Ok! Nasikia arusha mvua inanyesha sana, ukija kutupokea jpili usisahau kutubebea miamvuli!Ok sawa...Amy sijaonana nae pia ila natumai hajambo kabisa na muda si mrefu atakuwa hapa jukwaani.
Haki sawa iko wapi hapa? Sie siku 1 tu, wao 364!!!
Umeamkaje kongosho!
Tehe!nimeamka wima
kusini mashariki kulikuwa na pepo za msimu.
Magharibi mwa pua kuna mvua za rasharasha na chafya za hapa na pale.
Maeneo mengine yalikuwa shwari kabisa.
Kwa ujumla mie mzima.