Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Mie mzima,
babu ODM yuko wapi?
niko nae hapa usihofu,wee zamu yako si kesho!?
Mie mzima,
babu ODM yuko wapi?
Na Bishanga umempeleka wapi?Mie mzima,
babu ODM yuko wapi?
Mh! No comment!
Khaaa we bucho!
mi nipo pouw ila kabaridi kakali . Mi sijalala nawaza kikuku chako tu . Lol !
Fanya kesho kutwa, kuna mmoja kila nikimwambia aondoke, anatoa bastola.
nawapongeza sana.
Hivi hayasaidii kuongeza nguvu?
Yanatibu fungus za makwapa.kabla ya pongezi taja faida zenyewe
Asante sana, pale mwisho wanasayansi tulipomaliza uvumbuzi tuliambiwa tutume salam. Nilituma kwako. Walifurahi sana wanasayansi wenzangu kuskia jina lakoHongereni sana wanasayansi wetu!.. Pitia biya yako hapa kwa kongosho!
Yanatibu fungus za makwapa.
Yanatibu ufizi wa vizee
Yanatibu muwasho wa sehem nyeti
Pia yanastimulate usingizi na yanapunguza kukoroma kwa asilimia 22.5
Huo ni uvumbuzi tu, kesho ndo tunazamia porini kutafta punda wa kuchuna ngozi. Unataka litre ngapi?aisee ntaipataje sasa?? Hebu sema haraka, nahitaji hii kitu.
niko nae hapa usihofu,wee zamu yako si kesho!?
Na Bishanga umempeleka wapi?
Dr ndodi ni jirani yake mzizimkavu bana. Mimi nakaa jirani na mkemia mkuu wa serikaliDk ndodi jirani yako???
Mbona mnarandana bila randa?
Miss u
Huo ni uvumbuzi tu, kesho ndo tunazamia porini kutafta punda wa kuchuna ngozi. Unataka litre ngapi?
Miss u
Teh shikamoohaya nyuma geukaaa...
unachungulia nn usiku huu we chalii...?lala!