Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
miss u more,za ulikotoka?
Ni nzuri...wewe je
miss u more,za ulikotoka?
Ok wateja kumi wa mwanzo watapata offer ya hafu price.lita 2 na robo will do, i wish you the best kuna nyoka huko porini
Unaujua wimbo wa "Uko wapi wa Ray C"marahaba!haya umesahau nini huku?
HM work umemaliza?
tuwe tunapigiana simu na nyie mwe..mimi nilikuwa hukoo kwenye baikoko kumbe nyie mnapiga stoei huku.si fresh
[video=youtube_share;7yU7KcGoaQ4]http://youtu.be/7yU7KcGoaQ4[/video]
tuwe tunapigiana simu na nyie mwe..mimi nilikuwa hukoo kwenye baikoko kumbe nyie mnapiga stoei huku.si fresh
[video=youtube_share;7yU7KcGoaQ4]http://youtu.be/7yU7KcGoaQ4[/video]
Ok wateja kumi wa mwanzo watapata offer ya hafu price.
Acheni nilog out sasa jero langu lishaisha hapa cafe.
mbaki salama na msitongozane bila condom.
Asanteni.
Unaujua wimbo wa "Uko wapi wa Ray C"
huo ndo nauimba hapa...hope unanielewa dogo.
Funga domo lako we dogo...sijui ivi nnavoelewa ndio unavomaanisha?usisahau kukojoa kabla ya kulala...usije ukabatiza godoro...
yule wa kanga moko ndembendembe njoo an milioni? dahh ngoje na mimi nipige ramli huenda nikapendwa sasaleo wapo wapi?najua jana ni continental...
vip yule mdada mwembamba leo alikuwepo?
karibu hujachelewa...wakubwa ndio tunataka kuondoka kuna after part ya wawili wawili...
ehneee unamsaka nani? niulizekesho ntakupigia
kumbe nawe mpenzi wa mastori
afu kuna mtu namsaka simuoni.
nipo naye hapa. anajiandaa tunatoka sasa hivi..si unajuawa siku zote bana?
Afu mwali wangu naye simwoni, vipi?
Lol, itakuwa wamelifananisha na mzizi wa dawa gani?Asante sana, pale mwisho wanasayansi tulipomaliza uvumbuzi tuliambiwa tutume salam. Nilituma kwako. Walifurahi sana wanasayansi wenzangu kuskia jina lako