Toka BEN alivyochujwa na Kamati Kuu ya CDM kwenye kugombea Uenyekiti wa BAVICHA amekuwa na kinyongo sana. Na style yake ya kukomenti humu jamvini ni kama ile ile ya Zitto ya kupingana wazi wazi maazimio yaliyofikiwa na vikao halali vya chama tena na yeye akiwa Mjumbe!
Kwa hakika hata mimi nimempuuza kabisa.Ni mtu asiyefaa kupitishwa hata kugombea ubunge kwa sababu ni mchochezi mkubwa wa migogoro na mtu anayejiona bora kuliko wengine