Feedback.
Sasa wewe unatarajia nini kama mbunge anakesha mochuary akiomba maiti ifufuke? Kama haitoshi tunaambiwa eti ndiyo mwanasiasa bora wa mwaka 2011 bora wangesema mwanasiasa mtata wa mwaka 2011 ningeelewa.
Hahahaha ritz..umenikumbusha ukilaza wa huyu mheshimiwa. Hivi kwanini huwa anapenda sana kuongoza mazishi? Nimeshamuna kwenye kamati nyingi sana za mazishi. Halafu lazima kwenye kila msiba atoe waraka!!!
Hivi mbona Lema ana washabiki wengi hivyo humu lakini simwoni?
Lema hawezi kujenga hoja kwenye Forums kama hizi sio mzuri kwenye kuandika anaogopa kumwaga upupu..
Kashindwa kuiga kutoka kwa Mnyika au Dr Slaa, wanakuja jamvini.
Wewe nape ngongo rejeo ndiyo mnamahaba na LEMA mkiona jina la LEMA mnawashwa na masaburi yenu hamlali mbaka muandike ujinga wenu kuhusu Lema ndiyo mtajisikia raha na masaburi yenu yanatulia kuwashwa ila nitamwomba Lema siku moja awatulize hayo masaburi yenu wewe nape ngongo rejeo ndiyo mtamuheshimu sisi wananchi wa arusha ni wanaume kazi kwenu nyie AKINA DEVIDI KAMERUNI MNAOTAKA SISI NA LEMA TUWASHULIKIE MASABURI YENU
Wa shule za kata kuwagundua ni rahisi sana. Hebu panga hizo sentensi zako vizuri ili tujue unachotaka kutueleza.
Ona sasa umejisahau ulichotumwa kuja kufanya humu JF umeanza kuwasifia Mnyika na Slaa. Shauri yako NAPE atakufukuza kazi!
Unahitaji elimu ya chekechea kugundua hili.......sidhani kuna mtu anayeweza kupinga utendaji wa Lema kwasasa,amekuwa ni kati ya wabunge wa CDM wanaosimamia haki bila uoga.
Kanuni za uandishi ukichanganya herufu kubwa na ndogo ni kufanya fujo!
tena umeanza kuponda shule zenu mnazojenga wenyewe! Kumbuka umetumwa kuja kuiponda cdm na viongozi wake siyo kuponda kazi ambazo ni matokeo ya kazi ya mikono ya ccm! Haki ya nani nape anakufukuza kazi! Lakini uzuri nilikutaadharisha mapema kwamba kazi unayoifanya ni ngumu na ambayo unaweza ukajisahau ukajua unaifanya kumbe unaifanya viceversa! Pole sana!
Huu uandishi wa hivi umeusomea wapi? Wa shule za kata kuwagundua ni rahisi sana. Hebu panga hizo sentensi zako vizuri ili tujue unachotaka kutueleza.
Lema ndiye amekufundisha kuandika hivi? Nenda shule ukajifunze kutumia nukta, koma na herufi kubwa.Kumbe mnajua shule za kata siyo bora haina kiwango lakini kwenye ilani yenu ipo kujenga shule za kata napia wabunge wenu kila siku waisifia kwamba ccm imejenga shule za kata nyingi kumbe haina ubora nape anapita nakusifu shule za kata nikazi ya ilani ya ccm ndiyo maana mnataka elimu ya msingi iwe darasa la sita badala ya la saba ilimjenge shule zakata nyingi kibaraka wa nape wewe fanya kazi ya nape kwa umakini siyo kuiponda kazi ya nape mnazidi kumuharibia mnakaa kuiponda ilani yenu ya ccm fanyeni kazi ya mkiona posti inayo husu chadema na LEMA inatakiwa msile wala kulala mnakaa kujibu wakati wanaume tunakula na kulala maana hatuja ajiriwa kama nyie na nape vibaraka wakubwa nyie
Lema ndiye amekufundisha kuandika hivi? Nenda shule ukajifunze kutumia nukta, koma na herufi kubwa.
Wewe ni Futuhi wa JF endelea kutuburudisha! Ha! Ha! Ha! Ha!