Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,105
Umoja uliopo miongoni mwa Lema, mke wake na watoto ni wakuigwa. Wamelelewa kiimani, wanaishi kwa haki na awajawahi kuacha kutafuta kesho iliyo bora kwao na kwa wengine.
Ni familia bora kwa mwaka 2023 ambayo wanasiasa wengi wenye madaraka itawachukua miaka kadhaa kuishi maisha ya hawa watu. Wana amani ya moyo ,wana upendo na wanashirikiana.
Most of families za viongozi wa kisiasa hasa ambao wana madaraka zimefichwa na hakuna siku utawaona wapo pamoja. Wapo busy hadi wanashindwa kufahamu wanatafuta kwa ajili ya familia kwanza
Niwapongeze Sana Lema kwa kuwaonyesha viongozi vijana umuhimu wakujenga familia inayocheka na kulia pamoja. God bless you my young brother......ashukuriwe Mungu kwakukupa Mke wa viwango hivyo. Ashukuriwe Mungu kwa kukupa vijana wanaoweza kuiongoza kwa haki nchi yetu tutakapokuwa tumeastaafu.
Ni familia bora kwa mwaka 2023 ambayo wanasiasa wengi wenye madaraka itawachukua miaka kadhaa kuishi maisha ya hawa watu. Wana amani ya moyo ,wana upendo na wanashirikiana.
Most of families za viongozi wa kisiasa hasa ambao wana madaraka zimefichwa na hakuna siku utawaona wapo pamoja. Wapo busy hadi wanashindwa kufahamu wanatafuta kwa ajili ya familia kwanza
Niwapongeze Sana Lema kwa kuwaonyesha viongozi vijana umuhimu wakujenga familia inayocheka na kulia pamoja. God bless you my young brother......ashukuriwe Mungu kwakukupa Mke wa viwango hivyo. Ashukuriwe Mungu kwa kukupa vijana wanaoweza kuiongoza kwa haki nchi yetu tutakapokuwa tumeastaafu.